Hujaidondosha ama kulock hizo hinges za kukunja na kukunjua kioo Cha laptop?Wakuu naombeni ushauri nifanye nini kuzuia ili tatizo la PC kuchanika kwani kadri muda unavyoenda ndivyo inavyozidi kuchanika
Nashindwa kupeleka kwa hawa mafundi wetu Wa kibongo nahofia kuongeza tatizo lingine zaidi
View attachment 1228018
Inawezekana Bawaba (hinge) zimekatika kwa ndani au zimestuck sababu ya kutu.Wakuu naombeni ushauri nifanye nini kuzuia ili tatizo la PC kuchanika kwani kadri muda unavyoenda ndivyo inavyozidi kuchanika
Nashindwa kupeleka kwa hawa mafundi wetu Wa kibongo nahofia kuongeza tatizo lingine zaidi
View attachment 1228018
Hiyo Dawa Yake Ndogo Sana Nenda Kwa Fund Anawekuwekea Hot Glue Hapo Mambo MuswanoWakuu naombeni ushauri nifanye nini kuzuia ili tatizo la PC kuchanika kwani kadri muda unavyoenda ndivyo inavyozidi kuchanika
Nashindwa kupeleka kwa hawa mafundi wetu Wa kibongo nahofia kuongeza tatizo lingine zaidi
View attachment 1228018
Hujaidondosha ama kulock hizo hinges za kukunja na kukunjua kioo Cha laptop?
Hizo hinges zikijikunjia kwa juu halafu zikakataa kukunjuka zinakuwa muda wote zinapush Hilo plastic la juu hivyo kusababisha laptop ifumuke ama plastic ivunjike.
Hujaidondosha ama kulock hizo hinges za kukunja na kukunjua kioo Cha laptop?
Hizo hinges zikijikunjia kwa juu halafu zikakataa kukunjuka zinakuwa muda wote zinapush Hilo plastic la juu hivyo kusababisha laptop ifumuke ama plastic ivunjike.
Mkuu unaweza ukawa unamfahamu fundi anayeweza fix hili tatizo kwa hapa dar, maana mim pia PC yangu inatatizo hilo,Inawezekana Bawaba (hinge) zimekatika kwa ndani au zimestuck sababu ya kutu.
Solution ni kuchomelea kwa gas sehemu iliyokatika na kuzilegeza Bawaba zifunge na kufungua kilaini then kama Case halizifungi vizuri tumia Chicago screws kitu kitarudi fresh.
Mimi nimefix sana PC za hivyo ila kama ujui peleka tu kwa fundi anayejua atakufanyia poa.
Wakuu naombeni ushauri nifanye nini kuzuia ili tatizo la PC kuchanika kwani kadri muda unavyoenda ndivyo inavyozidi kuchanika
Nashindwa kupeleka kwa hawa mafundi wetu Wa kibongo nahofia kuongeza tatizo lingine zaidi
View attachment 1228018