Uko wap nikufanyie kazi?Naomba msaada plse niliset kwa kutmia control panel , kama admin, sasa nimesahau password , plse assist , nimejalibu nimeshindwa .
Naomba msaada plse niliset kwa kutmia control panel , kama admin, sasa nimesahau password , plse assist , nimejalibu nimeshindwa .
Sema haujui. Siasa na teknlojia ni km mafuta na maji.Duh unasahau password? inaelekea unaishi kwa mashaka sana na kutokuaminiana, hata hivyo kila la Heri siwezi kukusadia!
piga window mpya ila usiformat disckNaomba msaada plse niliset kwa kutmia control panel , kama admin, sasa nimesahau password , plse assist , nimejalibu nimeshindwa .
Sio kweli, hiyo ni kwa ajili ya bios password tu na hata BIOS ni baadhi ya machine.Fungua case ya hiyo computer iwe laptop au desktop nenda kwenye mother board chomoa thermal battery (inakuwa kama battery y saa ila lenywewe kubwa) kwa mda wa kama dk kumi then lirudishe betri computer itasahau password zote utakuta mafile uliyowekea password yako free
Umejaribu ikashindikana?S
Sio kweli, hiyo ni kwa ajili ya bios password tu na hata BIOS ni baadhi ya machine.
Najua biis nna windows zinavyofanya kazi, sina haja ya kujaribu.Umejaribu ikashindikana?
Sawa mkuu ahsanteNajua biis nna windows zinavyofanya kazi, sina haja ya kujaribu.
Windows password haihusiki kabisa na bios ndo maana hiyo harddrive yenye windows hata ukiihamishia PC nyingine ambayo ina bios tofauti ukaboot bado windows itakuwa na password ile ile.
OkMzee unamwingiza chaka.. Sii ya bios ni ya window
Fungua hiyo CPU/ machine toa Thermos battery iache kama dk tano alafu rudisha funga kisha washa kawaidaNaomba msaada plse niliset kwa kutmia control panel , kama admin, sasa nimesahau password , plse assist , nimejalibu nimeshindwa .