Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,643
Sio kweli. Hapa VIWANJA 60 kuna mtu kajengewa na kampuni haina shidaNasikia kuvuja eti ni lazima asee...hata umpate expert
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sio kweli. Hapa VIWANJA 60 kuna mtu kajengewa na kampuni haina shidaNasikia kuvuja eti ni lazima asee...hata umpate expert
Huenda anavujiwa vizuri tu ila kukulia haweziKakaangu kaijenga hii na anasifia balaa...ngoja tuone
Hili nalo ni nenoMbona misikiti haivuji na design ni ileile. Wakajifunze misikitini.
Nasikia kuvuja eti ni lazima asee...hata umpate expert
Hivoo mi naipenda ila naogopa huyoo ishu ya kuvuja twinsio kweli Twin kuna rafiki yangu kajenga mwaka wa tatu haijawahi vuja hata mara moja
Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Bora hii inanitia moyo.Kuna mbinu ndogo ndogo zinatumika mafundi wengi hawajui! Yangu ilikuwa inavuja pia kifuata ukuta!! Kuna fundi nilimpata mitandaoni nikamuita akaja akapiga cement ya waterproof na kuna gundi maalum inatumika!!
Pia kwa kitumia mbinu za kiufundi alinyanyua paa upande mmoja ili maji yafuate njia!!
Toka hapo kuvuja kwangu nakusikia kwenye mitandao kama hivi!!
Huko pe.beni tafuta fundi wapige cement ya water proof
Pole ndugu.Nikajua hiki kilio ni changu tuu.
nimeshahangaika na uamuzi ulifikiwa ni kubadili designing.
napaua kawaida.
nimekaa mwaka 1 nanyeshewa ndani kama nipo nje.
ukileta fundi ndo anaongeza majanga.
Inavuja gutter..pembeni..katikati ya Bati (kwenye misumari) marekebisho yashagharimu 700 na sasa bora niongeze ml 3 nibadili tuu.
nimechoka aisee
Usiseme fuata mkumbo..kwani kitu kizuri si kinaonekana asa wewe utakalia design ya zamani kisa kuna changamoto kwenye design mpyaa..hakuna changamoto isiyotatulika kwenye ujenzi,acha uoga!Kigamboni ndo kuna hilo balaa..watu fata mkumbo sana
Ndo zipi hizo hebu tupiamo ka picha
Hivoo mi naipenda ila naogopa huyoo ishu ya kuvuja twin
🤣🤣🤣Mbona misikiti haivuji na design ni ileile. Wakajifunze misikitini.
Wakijenga kampuni ya kueleweka ambayo mafundi walienda shule haitavuja kamwe/milele.Kuvuja ni kwa mafundi vishoka hawa akina fundi Athumani.Hivoo mi naipenda ila naogopa huyoo ishu ya kuvuja twin
contermplary kwa nyumba za kuishi za kibongo bongo hazifai, wenzetu huwa wanaweka corridor kuzunguka nyumba na kutengenza water drainage nzuri sana, huku kwety water drainage inaweza kula 30% ya bajeti ya ujenzi wako, usipofanya hivyo lazima ivujisheNilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Daah inawezekan maan most of the time tunaprefer kutumia bati kupunguza cost of construction ila kama mfuko unasoma unaweka tu hamna shidaIla natamani kujua, hizi nyumba inawezekana juu badala ya bati nikaweka Zege?