Kivipi Dodoma hakuna mafundi madhubuti?Mambo ya kufata Mkumbo! Dodoma wanalia sana walojenga contemporary!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu contemporary kabla hujaijenga ilibidi uangalie site yako kama inareceive high rainfall maana itakusumbua sana hizi ni kwa ajili ya sehemu yenye mvua chache pia mafundi wanaoziwezea wako wachache sana inabidi hapo utafute fundi expert sio kila fundi anaweza kuzijengaNilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Kakaangu kaijenga hii na anasifia balaa...ngoja tuoneMambo ya kufata Mkumbo! Dodoma wanalia sana walojenga contemporary!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
But mbona kuna mafundi expert wanaziwezea hizi contemporarymambo ya kudandia mkumbo na kutaka urahisi wa roofing
sasa inawatokea puani
ila pole
ni swala na mda tuBut mbona kuna mafundi expert wanaziwezea hizi contemporary
Kakaangu kaijenga hii na anasifia balaa...ngoja tuone
Sio "temporary" ni "contemporary".Kama jina lake lilivo na neno Temporary naamini ni swala la muda tu, Vilio vitaanza watu wamevamia sana huo ujenzi wa namna hio
Nasikia kuvuja eti ni lazima asee...hata umpate expert
Kigamboni ndo kuna hilo balaa..watu fata mkumbo sanaKama jina lake lilivo na neno Temporary naamini ni swala la muda tu, Vilio vitaanza watu wamevamia sana huo ujenzi wa namna hio
Ndo zipi hizo hebu tupiamo ka picha
Mkuu nisome vizuri nimesema kama Jina lake lilivo na neno Temporary meaning Temporary ni part pia ya jina ukiacha ConteSio "temporary" ni "contemporary".
Mleta mada, aina hii ya roofing inafaa kwa sehemu zisizo na mvua nyingi. Roof yake inakua na slope ndogo, inayoweza kuvuja kama mvua zikiwa nyingi sana na hatua za water proofing hazikufanyika kwa usahihi.
Tafuta fundi mzoefu au mtaalam wa ujenzi. Atakagua hizo sehemu zinazovuja, then atakushauri nini kifanyike!