mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,309
- 942
Baada ya kulalamika kwa muda mrefu kuhusu vidonda vya tumbo nilihamua kwenda hospital yenye vipimo vinavyoweza kuonyesha tumboni vidonda vya tumbo vimenihathiri kwa ukubwa gani
Mrejesho wadau
Nilifanikiwa kwenda hospital moja ipo Njombe Makete inaitwa ikonda,nikapima vipimo kama inavyoonekana kwenye atachment hapo chini,ila sasa baada ya kupimwa kile kipimo cha camera ya kuingizwa tumboni kikaonyesha kwenye utumbo hakuna vidonda wala michubuko,lakini nikamuhuliza doctor sasa mbona tumbo uwa linaniwaka moto sana mbaka nakosa raha akanijibu kwamba inaonekana mwili wangu unazalisha sana Acid ndo inafanya tumbo liwake moto,nikapewa mavidonge lakini nimeyatumia sijaona utofauti nimerudi kwenu kuomba ushauri nitumie njia ipi kuzuia mwili wangu usizalishe Acid kwa wingi??
Mrejesho wadau
Nilifanikiwa kwenda hospital moja ipo Njombe Makete inaitwa ikonda,nikapima vipimo kama inavyoonekana kwenye atachment hapo chini,ila sasa baada ya kupimwa kile kipimo cha camera ya kuingizwa tumboni kikaonyesha kwenye utumbo hakuna vidonda wala michubuko,lakini nikamuhuliza doctor sasa mbona tumbo uwa linaniwaka moto sana mbaka nakosa raha akanijibu kwamba inaonekana mwili wangu unazalisha sana Acid ndo inafanya tumbo liwake moto,nikapewa mavidonge lakini nimeyatumia sijaona utofauti nimerudi kwenu kuomba ushauri nitumie njia ipi kuzuia mwili wangu usizalishe Acid kwa wingi??