Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,645
Hello MMU,
Naomba mnisaidie ushauri juu ya hili.
Unapoamua kuachana na mtu si kwamba unakuwa umemchoka au upendo umeisha bali huweza kuwepo sababu mbalimbali zitakazoweza kukufanya uweze kumuacha.
Sababu hizo huweza kuwa tofauti ya dini, wazazi kukataa, dini kutoruhusu (mfano hairuhusiwi kuoa aliyeachika na mumewe/mkewe ambaye bado yupo hai) au ulikuwa na mpenzi zaidi ya mmoja na umeamua kuwa na mmoja muoane.
Sasa naomba mnisaidie ni njia gani au ni maneno gani unaweza kutumia ili kumfikishia ujumbe huyo unayetaka kuachana nae pasipo kumuumiza nafsi yake.
Naomba mnisaidie ushauri juu ya hili.
Unapoamua kuachana na mtu si kwamba unakuwa umemchoka au upendo umeisha bali huweza kuwepo sababu mbalimbali zitakazoweza kukufanya uweze kumuacha.
Sababu hizo huweza kuwa tofauti ya dini, wazazi kukataa, dini kutoruhusu (mfano hairuhusiwi kuoa aliyeachika na mumewe/mkewe ambaye bado yupo hai) au ulikuwa na mpenzi zaidi ya mmoja na umeamua kuwa na mmoja muoane.
Sasa naomba mnisaidie ni njia gani au ni maneno gani unaweza kutumia ili kumfikishia ujumbe huyo unayetaka kuachana nae pasipo kumuumiza nafsi yake.