James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,493
- 2,691
Habari zenu,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watoto hapa maskani. Hawataki hata kusoma wala kujisomea, yani wakitoka shule Tv na wao, wao na TV.
Yaani ukiwaambia wakasome hawataki yan mpaka waamie wenyewe. Ukiwaambia walajisomee wanaona kama unawatibulia ratiba yao.
Hata mtihan ukikaribia hawasomi na mitihan hawakuonyeshi.
Mmoja yupo form 2 mwingine darasa la 5 mwungine 7 meingine 3. Nifanyaje maana muda mwingine nachoka mpaka najisemea kimoyomoyo wasome au wasisome watajua wenyewe.
Kumbuka hawa ni watoto wa ndugu zangu wameletwa hapa niwasimamie wasome lakini wao wanaleta ujinga
NB: Nimehitimu chuo mwaka huu UDOM
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watoto hapa maskani. Hawataki hata kusoma wala kujisomea, yani wakitoka shule Tv na wao, wao na TV.
Yaani ukiwaambia wakasome hawataki yan mpaka waamie wenyewe. Ukiwaambia walajisomee wanaona kama unawatibulia ratiba yao.
Hata mtihan ukikaribia hawasomi na mitihan hawakuonyeshi.
Mmoja yupo form 2 mwingine darasa la 5 mwungine 7 meingine 3. Nifanyaje maana muda mwingine nachoka mpaka najisemea kimoyomoyo wasome au wasisome watajua wenyewe.
Kumbuka hawa ni watoto wa ndugu zangu wameletwa hapa niwasimamie wasome lakini wao wanaleta ujinga
NB: Nimehitimu chuo mwaka huu UDOM