Msaada: Nitumie mbinu ipi ili watoto wapende kujisomea?

James Hadley Chase

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
1,493
2,691
Habari zenu,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watoto hapa maskani. Hawataki hata kusoma wala kujisomea, yani wakitoka shule Tv na wao, wao na TV.

Yaani ukiwaambia wakasome hawataki yan mpaka waamie wenyewe. Ukiwaambia walajisomee wanaona kama unawatibulia ratiba yao.
Hata mtihan ukikaribia hawasomi na mitihan hawakuonyeshi.

Mmoja yupo form 2 mwingine darasa la 5 mwungine 7 meingine 3. Nifanyaje maana muda mwingine nachoka mpaka najisemea kimoyomoyo wasome au wasisome watajua wenyewe.

Kumbuka hawa ni watoto wa ndugu zangu wameletwa hapa niwasimamie wasome lakini wao wanaleta ujinga

NB: Nimehitimu chuo mwaka huu UDOM
 
Tell me, I may understand and do it; show me and I will do it. Be the very change you want to see in the world. Lead not by words, but actions for they speak louder. Let your children see you enjoying reading yourself. Utarudi hapa kunishukuru.

I remember, like it was yesterday, spending hours and hours ^WITH^ my parents in the library, as a little kid.
 
Hahaha mwambie Magufuli atoe tamko ikulu, marufuku vijana washule ngazi zote kuonekana nje popote. Wakae ndani wasome.
 
Anza kusoma nao pamoja kisha wasaidie kama wana homework fanya hivyo kama wiki mbili mfululizo halafu mbinu za kijeshi zitumike ikiwemo kutowasha TV saa ambazo wanatakiwa wajisomee.
 
Watoto wanatakiwa kujengewa tabia au mazoea tangu wakiwa wadogo, mfano wanapotoka shule jizoeze kusoma nao, kufanya nao homework, kusoma story books na ikiwezekana wakusimulie walichoelewa kutoka kwenye vitabu wanavyosoma, wanunulie vitabu mablimbali na uowaonyeshe umuhimu wa kusoma vitabu, hata wanapokua wakubwa huna haja ya kutumia nguvu kuwalazimisha kusoma kwani inakua ni sehemu ya ratiba yao na wanafanya pasipo kusimamiwa
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom