Msaada: Nini suluhisho la kukosa usingizi kwa mama mjamzito?

njoo kwetu

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
801
1,786
Naomba msaada wenu. Wife wangu amekuwa na tatizo la kutopata usingizi wakati wa usiku na mjqmzito wa miez 3.

Hii hali imekuwa tete sasa. Kwa maana anaweza asilale hata wiki nzima wakati wa usiku lakin ikifika midaa ya 12. Hapo anapata usingiz mpka midaa ya saa 4.

Sasa hofu yangu ni afya yake na afya mtoto tumboni.

Msaada jamani
 
Pole. Mimba ya miezi mitatu anakosa usingizi ni mapema Sana,. Umri huo wa ujauzito ni wa kulala lala, Kutapika, kichefuchefu.

Kukosa usingizi kunaanziaga miezi 7 huko túmbo lishakuwa kubwa Hadi kujiegeuza kitandani unashindwa.
 
Asante kwa ushauri
Hizo nyakat ni ngumu sana kwa mimba ya kwanza ila zitaisha soon kikubwa apate mapumziko ya kutosha na pia kama ni mpenz Wa season apunguze kuangalia haswa nyakat za usiku.Nb.usimpelekee moto sana
 
Naomba msaada wenu. Wife wangu amekuwa na tatizo la kutopata usingizi wakati wa usiku na mjqmzito wa miez 3.

Hii hali imekuwa tete sasa. Kwa maana anaweza asilale hata wiki nzima wakati wa usiku lakin ikifika midaa ya 12. Hapo anapata usingiz mpka midaa ya saa 4.

Sasa hofu yangu ni afya yake na afya mtoto tumboni.

Msaada jamani
Anapo taka kulala ajipake nyayoni mafuta ya Zaituıni au mafuta ya nazi akisha jipake avae soksi alale atapata usingzi mzuri.
 
Hili tatizo linaitwa Insomnia, mpeleke cliniki atapewa msaada.
Usitumie mitishamba kwa sasa maana ujauzito umeshafika miezi mitatu ingekua chini ya hapo ungeweza tumia.
 
Back
Top Bottom