Farajamassawa
New Member
- Apr 27, 2021
- 2
- 4
Habarini wapendwa kwema!!! Nina gari yangu aina ya Toyota corolla fielder shida kubwa kila nikiiwasha inawaka halafu inazimika nikirudia tena bado inazimika, ila ukiiwasha halafu ukaikanyangia moto hata kwa dk 3 mpk 5 ikishapata moto engine ndo inawaka.
Nimeshaipeleka kwa fundi lkn bado shida inajirudia
Naombeni mnisaidie sijui shida ni nini.
Nimeshaipeleka kwa fundi lkn bado shida inajirudia
Naombeni mnisaidie sijui shida ni nini.