Msaada: Nini maana ya treasury bill (hati fungani)?

Hela inapokuwa nyingi katika uchumi/ mzunguko inapelekea mfumuko wa bei. Ili kuleta stability ktk macro economy kwa kupunguza mfumuko wa bei, serikali inatumia Monetary na Fiscal Instruments au policies.
Fiscal instrument 1wapo ni Treasury Bills ambapo Serikali ina issue treasury bills kwa public, public inanunua hzo bills na kwa kuspend hela kufanya manunuzi hayo, hela inapungua ktk mzunguko na kwa ushrkiano na sera nyingne za fedha na kodi mfumuko wa bei hatimaye unapungua, stability inakuwa restored ktk macro economy.
Kwa ufupi serikali inapo issue treasury bills ina borrow/ina kopa frm the public.

Wewe unaponunua Treasury Bill, unauziwa kwa bei pungufu (discounted price). Bdae iki mature (muda wa serikali kuinunua kutoka kwako ukifika) serikali inainunua kwa bei halisi ya treasury bill hyo (face/par value). Faida kwako inakuwa tofauti kati ya discounted price na par value ya treasury bill hyo.
 
Hela inapokuwa nyingi katika uchumi/ mzunguko inapelekea mfumuko wa bei. Ili kuleta stability ktk macro economy kwa kupunguza mfumuko wa bei, serikali inatumia Monetary na Fiscal Instruments au policies.
Fiscal instrument 1wapo ni Treasury Bills ambapo Serikali ina issue treasury bills kwa public, public inanunua hzo bills na kwa kuspend hela kufanya manunuzi hayo, hela inapungua ktk mzunguko na kwa ushrkiano na sera nyingne za fedha na kodi mfumuko wa bei hatimaye unapungua, stability inakuwa restored ktk macro economy.
Kwa ufupi serikali inapo issue treasury bills ina borrow/ina kopa frm the public.

Wewe unaponunua Treasury Bill, unauziwa kwa bei pungufu (discounted price). Bdae iki mature (muda wa serikali kuinunua kutoka kwako ukifika) serikali inainunua kwa bei halisi ya treasury bill hyo (face/par value). Faida kwako inakuwa tofauti kati ya discounted price na par value ya treasury bill hyo.
..Mkuu Nakushukuru, maana yake ni kwamba Treasury Bills hutolewa wakati ule tu kunapokuwa na Inflation?
Na hizi Treasury Bills huwa zinasimamiwa na Chombo gani
 
..Mkuu Nakushukuru, maana yake ni kwamba Treasury Bills hutolewa wakati ule tu kunapokuwa na Inflation?
Na hizi Treasury Bills huwa zinasimamiwa na Chombo gani

Benki kuu ndio inasimamia mchakato wa kuziuza na kuzinunua (redemption).
Zinauzwa ili kuleta stability ktk uchumi mkuu (macro economy). At any time kunakuwa na inflation ktk uchumi so ili ku promote na ku sustain price stability ktk uchumi benki kuu ndio inafanya hyo kaz ya kuuza hzo bills.
Kwa kawaida hz znatibu tatizo la mfumuko wa bei kwa muda mfupi (shortrun) ambayo ni mwaka 1 tu.
 
Benki kuu ndio inasimamia mchakato wa kuziuza na kuzinunua (redemption).
Zinauzwa ili kuleta stability ktk uchumi mkuu (macro economy). At any time kunakuwa na inflation ktk uchumi so ili ku promote na ku sustain price stability ktk uchumi benki kuu ndio inafanya hyo kaz ya kuuza hzo bills.
Kwa kawaida hz znatibu tatizo la mfumuko wa bei kwa muda mfupi (shortrun) ambayo ni mwaka 1 tu.
Asante Mkuu, sasa kwa situation iliyopo TZ sasa hivi ambapo Inflation ipo juu( Double digit, nadhani 17%), Hizi Treasury Bills zinaweza kuokoa situation kama hii? Inflation rate ishuke
 
Asante Mkuu, sasa kwa situation iliyopo TZ sasa hivi ambapo Inflation ipo juu( Double digit, nadhani 17%), Hizi Treasury Bills zinaweza kuokoa situation kama hii? Inflation rate ishuke

Itawezekana kwa ushirikiano na Sera nyingne za fedha(monetar and fiscal policies) treasury bills per se haziwezi ku restore stability. Uchumi ni kama mwili wa binadamu, unaendelea kuish kwa ushrkiano wa viungo vingi. Chakula kikiwa tayari co mwisho wa habari inabd mikono, macho, miguu, akili, vishrkiane ili hatmaye uwe umeshba otherwise mikono tu haiwezi kukufanya ushbe bila ushrkiano wa mdomo. Cjui kama nime2mia mfano mzuri sana.
 
..Mkuu Nakushukuru, maana yake ni kwamba Treasury Bills hutolewa wakati ule tu kunapokuwa na Inflation?
Na hizi Treasury Bills huwa zinasimamiwa na Chombo gani
hazaitolewi wakati inflation inapokuwa juu tu... wakati mwingine serikali inafloat hizi kama njia ya kujipatia fedha kwa ajili ya matumizi yake... inasaidia sana wakati serikali inapokuwa na deficit kwenye budgetary implementation
 
kuna treasury Bills na Bonds. Hivi ni vitu viwili tofauti. treasury bills zina maturity ya kuanzia 91days, 182 na 365 days. Kwa kifupi maturity yake ni less than a year. Treasury bonds zina maturity ya more than one year

Shukrani kwa ufafanuzi!
 
Treasury bills are issued by Government on a discounted basis. For example you can buy a treasury bill worth TShs 100 million for 60 days by paying saying 91 million. The yield on Treasury bills is lower than on other money instruments because of the lower default risk associated with Government borrowing. In fact, the Treasury bill yield is often used as an approximation of the risk-free rate of return. (Watson, Head 5e)
 
Itawezekana kwa ushirikiano na Sera nyingne za fedha(monetar and fiscal policies) treasury bills per se haziwezi ku restore stability. Uchumi ni kama mwili wa binadamu, unaendelea kuish kwa ushrkiano wa viungo vingi. Chakula kikiwa tayari co mwisho wa habari inabd mikono, macho, miguu, akili, vishrkiane ili hatmaye uwe umeshba otherwise mikono tu haiwezi kukufanya ushbe bila ushrkiano wa mdomo. Cjui kama nime2mia mfano mzuri sana.
...Mkuu nakupata, sasa labda kama hutajali weka wazi hapa hizo sera nyingine(i.e monetary &Fiscal policies) ambazo kwa pamoja na Treasury bills tunaweza zitumia Restore stability ya Inflation . Jaribu kufunguka Mkuu. Ni somo zuri
 
kuna treasury Bills na Bonds. Hivi ni vitu viwili tofauti. treasury bills zina maturity ya kuanzia 91days, 182 na 365 days. Kwa kifupi maturity yake ni less than a year. Treasury bonds zina maturity ya more than one year
..Ahaa, i see. Mkuu Rejao means hizi maana yake ni kwamba zote hizi lengo lake ni hilo, Stability Restoration
 
hazaitolewi wakati inflation inapokuwa juu tu... wakati mwingine serikali inafloat hizi kama njia ya kujipatia fedha kwa ajili ya matumizi yake... inasaidia sana wakati serikali inapokuwa na deficit kwenye budgetary implementation
..Naam, hapa sasa tupo pamoja. lakini swali linakuja kama maturity yake ni after One Year, na Serikali ina Deficit katika bajeti yake iliyopo maana yake ni kuwa bado hazitasaidia kutatua tatizo meanwhile au?
 
Ndugu zanguni wana JF wanauchumi ahsanteni kwa maelezo hapo juu

Hata hivyo bado naona kuwa nimepata maelezo ya hiyo treasury bills ya kutosheleza lakini kama bado sijaelewa hasa ni kitu gani

Je ni inatolewa kama karatasi fulani ya makubaliano au ni kama note ya fedha or is like what?

Na zinapotolewa huwa zinalenga makundi gani ya watumiaji? say je ni wafanyabiashara wakubwa tu, mabenki au?

Msaada tafadhali ili kuondoa ujinga
 
Katika lugha rahisi treasury bonds na treasury bills ni mikopo ya muda mrefu na mfupi respectively ambayo serikali inakopa baadhi ya wananchi na mashirika yenye fedha za ziada. tatizo tunaorudisha ni wanachi wote kwa njia ya kodi na tozo mbalimbali. riba ikiongezeka na kodi na tozo nazo zinapanda.inaweza kupunguza fedha kwenye mzunguko na inflation, lakini mwisho wa siku zinatukamua wananchi wote na si serikali kwani fedha za serikali ni mimi nawewe tunaolipa kodi(direct and indirect tax).

Hutolewa katika mfumo wa hati au karatasi maalum, humo mna-sign makubaliano(mnajifunga humo) kwa muda huo na terms hizo.tofauti na mikopo hiyo baadhi yake unaweza ukauuza. yaaani ukamtafuta mtu mwenye pesa ukampa hiyo document maalum akakupa pesa zako halafu yeye akapokea hizo pesa (interest and installment) baada ya kuona kama mwenendo wa kiuchumi atapata faida baadae.

Kuingia kwenye soko hilo unahitaji una na pesa walau milioni 50(ndio maana ya kukusanya pesa zinazoweza kuzidi kwenye cuchumi.thanks
 
Vile vile ni muhimu kuelewa kuwa Serikali ikikopa sana kwa kutumia treasury bills ambapo huweza kutoa riba kubwa husababisha mabenki kupenedelea kununua treasury bills kwani ni risk free ukilinganisha na sekta binafsi. Hii si nzuri kwa uchumi kwani husababisha kitu kiitwacho "crowding out effect" kwamba secta binafsi kukosa mikopo kutokan mabenki kupendelea zaidi treasury bills.

Lakini vile vile, serikali inaweza ikafanya kinyume chake, ambapo faida inatokanayo na treasury bills kuwa ndogo kiasi kwamba mabenki hugeukia kukopesha sekta binafsi ili kupata faida nzuri (margin).
 
Ndugu zanguni wana JF wanauchumi ahsanteni kwa maelezo hapo juu

Hata hivyo bado naona kuwa nimepata maelezo ya hiyo treasury bills ya kutosheleza lakini kama bado sijaelewa hasa ni kitu gani

Je ni inatolewa kama karatasi fulani ya makubaliano au ni kama note ya fedha or is like what?

Na zinapotolewa huwa zinalenga makundi gani ya watumiaji? say je ni wafanyabiashara wakubwa tu, mabenki au?

Msaada tafadhali ili kuondoa ujinga

zamani Benki ikinunua Treasury bills, Benki Kuu walikuwa wanatoa Certificates ya kuonyesha kiwango cha pesa kitakacholipwa baada ya maturity. Sasa hivi hutoa Statement of Accounts. Mtu yeyote anaweza akanunua Treasury bills lakini atumie benki yake kama primary dealers.
 
Ndugu zanguni wana JF wanauchumi ahsanteni kwa maelezo hapo juu

Hata hivyo bado naona kuwa nimepata maelezo ya hiyo treasury bills ya kutosheleza lakini kama bado sijaelewa hasa ni kitu gani

Je ni inatolewa kama karatasi fulani ya makubaliano au ni kama note ya fedha or is like what?

Na zinapotolewa huwa zinalenga makundi gani ya watumiaji? say je ni wafanyabiashara wakubwa tu, mabenki au?

Msaada tafadhali ili kuondoa ujinga

Kwa lugha nyepesi Tresuary bills ni serikali za nchi zinakopa toka kwa wananchi na taasisi zake, wanachotoa ni hati ya kuchukua pesa tarehe fulani (maturity date) ikionyesha kiwango atakacholipwa mnunuzi wa TB. Mnunuzi anakuwa amelipia kiasi pungufu na kilichoandikwa kwenye hiyo hati. Hii ni njia mojawapo ya makampuni yenye ziada ya mitaji (working capital) kuwekeza kiasi hicho cha ziada

 
Back
Top Bottom