Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize uyu ..kama ume mjuaTafadhali husitumie tafsiri bali kukingana na namna Tanzania au sheria za Tz zilivyo,
Karibu
Ninavyoelewa mimi ni kitendo cha kuingiza kwenye mzunguko fedha ambayo haikupatikana kihalali. Mfano pesa ambayo mtu ameipata kwa kuuza dawa za kulevya(ambayo ni kinyume na sheria) anaitengenezea mazingira fulani kama vile biashara au shughuli nyingine ambayo itaonekana km ile pesa imepatikana kwa namna hiyo ambayo ni halali. Wajuvi wataeleza vizuri zaidi.Nimekuwa nikisikia jambo hili ika kiukweli sijaelewa ,karibuni kuchangia
Money Loundering Act tenaaa. Hajaulizia sheria ya utakatishaji fedha. Ameulizia utakatishaji fedha tuuuKwa kiswahili ndiyo hivyo kwa kingereza ni Money loundering act.
Ni kitendo cha kufanya pesa haramu ( zilizopatikana kwa njia isiyo sahihi kuiweka kuwa sahihi).
Mfano unauza madawa ya kulevya , silaha pesa unazozipata ni haramu. Lakini unazisafisha kwa kupitia miradi vivuli au unazigawanya kwenye account za banks nk.
Nimejaribu in nutshell ila kama haujaelewa niambie.
Sent using Jamii Forums mobile app
au pesa za halali kuziingiza katika mzunguko haramuKuzifanya pesa ulizozipata kwa njia haramu kuziingiza katika mzunguko halali.
Nilikuwa naongelea act hii.Money Loundering Act tenaaa. Hajaulizia sheria ya utakatishaji fedha. Ameulizia utakatishaji fedha tuuu
Soma huu mjadala Utakatishaji Fedha ni nini? - JamiiForumsNimekuwa nikisikia jambo hili ika kiukweli sijaelewa ,karibuni kuchangia
Ukisha sema Act direct meaning ni Sheria. Thou ww ulimaanisha kitendoNilikuwa naongelea act hii.
Kumbe inabadilisha maana.
View attachment 992346
Sent using Jamii Forums mobile app