Kwa mafungu jeHabari.
Nahitaji msaada wa namna nitakavyoweza kupokea kiasi kikubwa cha pesa Tsh.100,000,000 kutoka nchi ya Afghanistan..... Njia nyingi za online transfer zinashindwa kutuma kiasi hicho cha pesa.
Nahitaji mawazo yenu.
Kila siku wajinga wanaongezeka! So bora umemshauri vyemaUmeona enh! Manake ule utapeli wa kiboya nimeshangaa hadi miaka ya hivi sasa bado unaendelea!!! Sasa sijui wanampata nani!
Umeona enh! Manake ule utapeli wa kiboya nimeshangaa hadi miaka ya hivi sasa bado unaendelea!!! Sasa sijui wanampata nani!
katoto kabichi kabisa ka kiarabu na wabongo tunavyopenda kuchakatana kuna kipindi 2010 kidogo niingie mkengeBank wire itakuwa ni njia sahihi wa kiasi hicho cha pesa mkuu.
ila ni wazi unataka kutapeliwa, inakuaje mtu atake kukutumia kiasi hicho cha pesa halafu asijue akutumie kwa njia gani? Uko mbioni kutapeliwa kama Marehemu Dr.Shika hapo utaambiwa utume fees ya transfer kwa western union au money gram na ndiyo itakuwa mwisho wa kusikia hayo mamilion.
Yale yale ya baba yangu alikuwa afisa kwenye serikali ya Taliban, ana maela mengi aliuawa katika uvamizi wa srikali ya Marekani. Naataka nikutumie pesa halafu nije huko tuishe sote na unatumiwa na picha za mtoto wa kiatabu mtaaamu.
kuwa makiniHabari.
Nahitaji msaada wa namna nitakavyoweza kupokea kiasi kikubwa cha pesa Tsh.100,000,000 kutoka nchi ya Afghanistan..... Njia nyingi za online transfer zinashindwa kutuma kiasi hicho cha pesa.
Nahitaji mawazo yenu.
Mkuu, Kama inawezekana ni Bora ukaile huko huko afghanstan, huku bongo Kuna manyang'au yatakubambika kesi ya uhujumu uchumi
Hili suala la utakatishaji pesa mnali-mislead sana... haliendi hivyo! Yaani from nowhere awekwe ndani kisa tu pesa imetoka Afghanistan bila kuangalia imepitia kwenye channel zipi?Na utakatishaji pesa. Hapo hachomoki lazma akae ndani na pesa zake.
Issue wala sio profile yako ipo vipi! Wale jamaa provided wana contacts zako, watakujaribu tu bila kujali profile yako inaonesha upo nchi gani!Juzi kati nilijaza profile yangu kwenye mtandao wa Linkenld muda mchache akanifuata tapeli wa aina hiyo mpaka nikashangaa aisee ameichukuliaje profile yangu.Stori zilezile Baba aliacha $ za kutosha anataka kutransfer kwenye account yangu akatuma vipicha vya kijinga vyenye makeup.Nikasema ngoja nimchambulie online transfer zote mpaka ajione boya kabisa ajue kuwa kumbe hata waTZ siku hizi wapo uchumi wa kati!!!!.Kila nikimcheki Pm siku hizi kimya namkumbusha vipi achague njia itakayomfaa kati ya nilizomchambulia kimyaaa.Mwishowe nikamblock tu.Ila aliniacha na swali je Profile yangu ni ipo kilocal au Nchi ninayotoka?
mkuu kule arusha nazani mapaka leo kuna wakili yuko ndani alikutwa na ma bilioni hayaeleki ya nini jamaa wakasema yanahusiana na kuhamasisha ushoga waka m fixHili suala la utakatishaji pesa mnali-mislead sana... haliendi hivyo! Yaani from nowhere awekwe ndani kisa tu pesa imetoka Afghanistan bila kuangalia imepitia kwenye channel zipi?
Umeona hapo kwenye RED?! Hayaeleweki ya nini ndicho kilichomfanya awekwe ndani lakini sio kwa sababu ameingiziwa au amekutwa na hizo pesa!!mkuu kule arusha nazani mapaka leo kuna wakili yuko ndani alikutwa na ma bilioni hayaeleki ya nini jamaa wakasema yanahusiana na kuhamasisha ushoga waka m fix
Hahahaha, yani huu wizi nilishashuhudia mtu anapigwa namtazama hivi hivi pasipo kusema neno maana ningesema ningeonekana namuonea donge. Jamaa alipigwa boom lake tukiwa chuo back in the days eti na anyedai yuko dakar senegal kambi ya wakimbizi.katoto kabichi kabisa ka kiarabu na wabongo tunavyopenda kuchakatana kuna kipindi 2010 kidogo niingie mkenge
Vipi, ufadhili wa ugaidi au uchaguzi wa tundu?Habari.
Nahitaji msaada wa namna nitakavyoweza kupokea kiasi kikubwa cha pesa Tsh.100,000,000 kutoka nchi ya Afghanistan..... Njia nyingi za online transfer zinashindwa kutuma kiasi hicho cha pesa.
Nahitaji mawazo yenu.