Mzee Koyu Mbochi
Member
- Jun 2, 2020
- 18
- 29
Wadau, ninaomba msaada. Nina taasisi ninahitaji kuwa napeperusha bendera ya taasisi na ya taifa. Ninaomba kujua utaratibu wa kisheria ikiwemo.
1. Kushushwa na kupandishwa kwa bendera ya taasisi (shule), je itapandishwa na kushushwa kila siku au yenyewe haishuki?
2. Rangi ya mlingoti na kamba (kuna sheria yoyote inapendekeza rangi fulani na inapiga marufuku rangi binafsi?)
3. Urefu wa mlingoti
4. Eneo la usimikaji (halipaswi kuwa na sifa gani?)
5. Mengineyo
Natanguliza shukrani
1. Kushushwa na kupandishwa kwa bendera ya taasisi (shule), je itapandishwa na kushushwa kila siku au yenyewe haishuki?
2. Rangi ya mlingoti na kamba (kuna sheria yoyote inapendekeza rangi fulani na inapiga marufuku rangi binafsi?)
3. Urefu wa mlingoti
4. Eneo la usimikaji (halipaswi kuwa na sifa gani?)
5. Mengineyo
Natanguliza shukrani