kidi kudi
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,419
- 1,981
Wakuu salama humu,
Ninahitaji kufanya factory reset ya simu aina ya Tecno Pop 2.
Nimetumia njia ya kubonyeza button ya power na volume up ila majibu nnayoyapata nimekwamia hapo hapo ndo maana nimelileta hapa kwa msaada zaidi.
Naombeni msaada mbadala ili niweze kuiformat simu hii kwa kuwa njia hiyo ya awali nilioitaja imefeli.
Ninahitaji kufanya factory reset ya simu aina ya Tecno Pop 2.
Nimetumia njia ya kubonyeza button ya power na volume up ila majibu nnayoyapata nimekwamia hapo hapo ndo maana nimelileta hapa kwa msaada zaidi.
Naombeni msaada mbadala ili niweze kuiformat simu hii kwa kuwa njia hiyo ya awali nilioitaja imefeli.