Nikajua domo zege ni mimi peke yangu tu kumbe yapo mengi tu..!
BAK hiyo mi reply yote unasubiri nini kwenda piemu..??π
Uzi wangu mwenyewe lkn naona wake zangu ndo wanabebwa hivyoπ
Najuta kuanzisha hili liuzi vitu vyengine ni upimbi tu..π
So this mean deal is done isn't it..??
Usiposema wewe ataniambia yeye maana....π
Mkuu wacha nikuachie tu ila kwenye Vita ya kumpata huyo nikiingia utaishia kumuona humu jf tu hata lile pindo lake la yesu ndie mwamba hautaliona..πOh! Unaanza kulia WIVU sasa ππππ
Mkuu wacha nikuachie tu ila kwenye Vita ya kumpata huyo nikiingia utaishia kumuona humu jf tu hata lile pindo lake la yesu ndie mwamba hautaliona..π
Nikianza kuharibu mambo hapa utaomba mods waifute id yangu!..π
Mkuu wacha nikuachie tu ila kwenye Vita ya kumpata huyo nikiingia utaishia kumuona humu jf tu hata lile pindo lake la yesu ndie mwamba hautaliona..
Nikianza kuharibu mambo hapa utaomba mods waifute id yangu!..
anakuchimba biti???sasa unataka niseme nini Saint Anne? Si umamuona domo zege KENZY kishaanza kuleta wivu wake oh! niambie kama the deal is done, usiponiambia wewe yeye ataniambia
anakuchimba biti???
Hivi bado hizi ndoto hazijaisha????umeona eh!!! ATANUNA huyu akijua umempa BAK tunda tamu KIMASIKHARA MASIKHARA.
Usisahau kuweka kokoto za kutosha zege iwe imara mkuuKuna binti hapa sio tu kaumbika no kakamilika idara zote kiasi kwamba hata nzi akimtulia kwenye mwili wake mi napata wivu
Tatizo sio kuumbika kwake,hivyo ni vivutio vya kitalii ambavyo nataka nikavifaidi ili kuitendea haki kazi ya bwana..
Tatizo ni udomo zege umenishika dhidi yake!
Nateseka juu yake,kula nakula lakini sishibi kwa sababu yake! Hata kunywa maji nakunywa lakini kiu hakiishi juu yake!.
Nikimsogelea maneno yananikimbia nabaki najiuma uma na kujikuna tu!.. na vile kabarikiwa tabasam ndo kabisa nikiliona mpaka mapigo yangu ya moyo yanachachamaa! Ni kama vile yananihukumu yananiambia "Leo Sasa!"
Msaada ndugu zanguni nifanyaje huu udomo zege niushinde?
Hivi bado hizi ndoto hazijaisha????
Usinichekeshe mieshauri yako.
Usinichekeshe mie
Ukifanikiwa ruksa kutoa ushuhuda..Usiwe na wasiwasi mie simpi ushuhuda yeyote yule ni siri yetu hiyo