Msaada: Nina tatizo la kuwachukia wazee

Babumawe

JF-Expert Member
Sep 12, 2014
2,556
2,560
Imefika wakati sasa ngoja niliweke wazi maana nimekaa nalo tangia utotoni, sijajua kama nina tatizo binafsi hama nini lakini mara nyingi inatokea nawachukia wazee kupita maelezo, yaani nilijaribu sana kujizuia lakini naona kama inashindikana
Yaani inanitokea kila nikipishana na mzee( hasa wale ambao umri umeenda sana ) sipendi kabisa naweza nisipite tena hiyo njia, kwenye daladala nikikuta siti kakaa mzee basi natafuta siti nyingine ile siwezi kukaa nasio kama napenda hapana bali ni hali tu inayonijia, ninaposikia akiongea basi sitaki hata kusikiliza maneno yao na wanavyotamka kizee nakuwa nakereka.


Sijajua ni tatizo lipo kwangu tu au hata kwa wengine, imefika kipindi kuna ndugu yangu mmoja kwake sipendelei kwenda kwa sababu kuna mzee yaani nilikuwaga nikienda kipindi cha nyuma naonaga huyo mzee anavyokuwa anawasumbua yaani alikuwa mkorofi kweli hadi nikawa namkwepa kwepa yaani alikuwa na vitabiatabia tu fulani hivi hadi nikawauliza wausika wananambia ndo alivyo tushamzoea, lakini cha ajabu mie sikuwahi kumzoea.

Hebu mwenye ushauri jinsi gani naweza kufanya niweze hata kubadilisha mtazamo kidogo sio kwamba napenda hiyo hali bali inanijiaga tu
 
Imefika wakati sasa ngoja niliweke wazi maana nimekaa nalo tangia utotoni, sijajua kama nina tatizo binafsi hama nini lakini mara nyingi inatokea nawachukia wazee kupita maelezo, yaani nilijaribu sana kujizuia lakini naona kama inashindikana
Yaani inanitokea kila nikipishana na mzee( hasa wale ambao umri umeenda sana ) sipendi kabisa naweza nisipite tena hiyo njia, kwenye daladala nikikuta siti kakaa mzee basi natafuta siti nyingine ile siwezi kukaa nasio kama napenda hapana bali ni hali tu inayonijia, ninaposikia akiongea basi sitaki hata kusikiliza maneno yao na wanavyotamka kizee nakuwa nakereka.


Sijajua ni tatizo lipo kwangu tu au hata kwa wengine, imefika kipindi kuna ndugu yangu mmoja kwake sipendelei kwenda kwa sababu kuna mzee yaani nilikuwaga nikienda kipindi cha nyuma naonaga huyo mzee anavyokuwa anawasumbua yaani alikuwa mkorofi kweli hadi nikawa namkwepa kwepa yaani alikuwa na vitabiatabia tu fulani hivi hadi nikawauliza wausika wananambia ndo alivyo tushamzoea, lakini cha ajabu mie sikuwahi kumzoea.

Hebu mwenye ushauri jinsi gani naweza kufanya niweze hata kubadilisha mtazamo kidogo sio kwamba napenda hiyo hali bali inanijiaga tu
Subiri kidogo miaka inakuja na kupita....sijui hatimae chuki yako utaielekeza wapi ;kwani nawe utakuwa mzee tena aliyechakaa vibaya mnoo!!!!!!!!!
 
Imefika wakati sasa ngoja niliweke wazi maana nimekaa nalo tangia utotoni, sijajua kama nina tatizo binafsi hama nini lakini mara nyingi inatokea nawachukia wazee kupita maelezo, yaani nilijaribu sana kujizuia lakini naona kama inashindikana
Yaani inanitokea kila nikipishana na mzee( hasa wale ambao umri umeenda sana ) sipendi kabisa naweza nisipite tena hiyo njia, kwenye daladala nikikuta siti kakaa mzee basi natafuta siti nyingine ile siwezi kukaa nasio kama napenda hapana bali ni hali tu inayonijia, ninaposikia akiongea basi sitaki hata kusikiliza maneno yao na wanavyotamka kizee nakuwa nakereka.


Sijajua ni tatizo lipo kwangu tu au hata kwa wengine, imefika kipindi kuna ndugu yangu mmoja kwake sipendelei kwenda kwa sababu kuna mzee yaani nilikuwaga nikienda kipindi cha nyuma naonaga huyo mzee anavyokuwa anawasumbua yaani alikuwa mkorofi kweli hadi nikawa namkwepa kwepa yaani alikuwa na vitabiatabia tu fulani hivi hadi nikawauliza wausika wananambia ndo alivyo tushamzoea, lakini cha ajabu mie sikuwahi kumzoea.

Hebu mwenye ushauri jinsi gani naweza kufanya niweze hata kubadilisha mtazamo kidogo sio kwamba napenda hiyo hali bali inanijiaga tu
Maana yake ni kuwa hutaufikia uzee, utakufa mapema sana kulingana na maandiko matakatifu
 
Imefika wakati sasa ngoja niliweke wazi maana nimekaa nalo tangia utotoni, sijajua kama nina tatizo binafsi hama nini lakini mara nyingi inatokea nawachukia wazee kupita maelezo, yaani nilijaribu sana kujizuia lakini naona kama inashindikana
Yaani inanitokea kila nikipishana na mzee( hasa wale ambao umri umeenda sana ) sipendi kabisa naweza nisipite tena hiyo njia, kwenye daladala nikikuta siti kakaa mzee basi natafuta siti nyingine ile siwezi kukaa nasio kama napenda hapana bali ni hali tu inayonijia, ninaposikia akiongea basi sitaki hata kusikiliza maneno yao na wanavyotamka kizee nakuwa nakereka.


Sijajua ni tatizo lipo kwangu tu au hata kwa wengine, imefika kipindi kuna ndugu yangu mmoja kwake sipendelei kwenda kwa sababu kuna mzee yaani nilikuwaga nikienda kipindi cha nyuma naonaga huyo mzee anavyokuwa anawasumbua yaani alikuwa mkorofi kweli hadi nikawa namkwepa kwepa yaani alikuwa na vitabiatabia tu fulani hivi hadi nikawauliza wausika wananambia ndo alivyo tushamzoea, lakini cha ajabu mie sikuwahi kumzoea.

Hebu mwenye ushauri jinsi gani naweza kufanya niweze hata kubadilisha mtazamo kidogo sio kwamba napenda hiyo hali bali inanijiaga tu
Kijana unamiaka mingapi? Unawachukia wazee wa aina gani? Je Baba ako mzazi hupo miongoni mwa orodha yako?
 
Nikupe na pongezi pole sababu umejitambua unataka kujua kumaliza tatizo badala tu kuwapuuza,
Naomba kujua yafuatayo :
1. Umelelewa na nani ? wazazi wako wote au mmoja ?
2. Je wazazi wako bado hawajazeeka ? umri wa kati 40-55 ? babu ,bibi ?
3. Hao wazee usiowapenda ni umri upi 55-70 au zaidi ya 70's
4. Umri wako ?

Baada ya hapo tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kulielewa tatizo then suluhu
 
Mkuu pole sana, ila ningekushauri tu jaribu kutathmini vitu vipi hasa unavichukia kutoka kwao na ujitahidi kuepuka. Kwa maelezo yako umesema inatokea tu unawachukia, lakini ukagusia hupendi jinsi walivyowasumbufu. Lazima uelewe kuwa maisha yanabadilika na hautaweza kuwa kijana au mtoto muda wote. Muda ukifika utafahamu mkuu.
 
Inawezekana kuna Mzee aliku-abuse ulipokuwa mdogo ndio maana unawachukia. Tafuta ushauri wa kisaikolojia kabla hujajichukia mwenyewe ukizeeka.
 
Afya yako ya akili haiko sawa, tafuta msaada wa matibabu kwa psychologists.
 
Subiri kidogo miaka inakuja na kupita....sijui hatimae chuki yako utaielekeza wapi ;kwani nawe utakuwa mzee tena aliyechakaa vibaya mnoo!!!!!!!!!
Labda ndo itakuwa mwisho wa chuki au nitaanza kuwachukia vijana
 
Imefika wakati sasa ngoja niliweke wazi maana nimekaa nalo tangia utotoni, sijajua kama nina tatizo binafsi hama nini lakini mara nyingi inatokea nawachukia wazee kupita maelezo, yaani nilijaribu sana kujizuia lakini naona kama inashindikana
Yaani inanitokea kila nikipishana na mzee( hasa wale ambao umri umeenda sana ) sipendi kabisa naweza nisipite tena hiyo njia, kwenye daladala nikikuta siti kakaa mzee basi natafuta siti nyingine ile siwezi kukaa nasio kama napenda hapana bali ni hali tu inayonijia, ninaposikia akiongea basi sitaki hata kusikiliza maneno yao na wanavyotamka kizee nakuwa nakereka.


Sijajua ni tatizo lipo kwangu tu au hata kwa wengine, imefika kipindi kuna ndugu yangu mmoja kwake sipendelei kwenda kwa sababu kuna mzee yaani nilikuwaga nikienda kipindi cha nyuma naonaga huyo mzee anavyokuwa anawasumbua yaani alikuwa mkorofi kweli hadi nikawa namkwepa kwepa yaani alikuwa na vitabiatabia tu fulani hivi hadi nikawauliza wausika wananambia ndo alivyo tushamzoea, lakini cha ajabu mie sikuwahi kumzoea.

Hebu mwenye ushauri jinsi gani naweza kufanya niweze hata kubadilisha mtazamo kidogo sio kwamba napenda hiyo hali bali inanijiaga tu
Hilo tatizo ni la kwako mwenyewe.
Wengine tunapenda wazee na tunapenda nasaha zao na kupiga nao stori.

Wewe utakuwa umelogwa nenda kaombewe
 
Mitanzania mingine mijinga sana. Mtu ana tatizo maybe la kisaikolojia yenyewe inakuja na akili za kupalilia magugu kulaumu. Hili ni tatizo linalostahili msaada
 
Back
Top Bottom