Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Wadau naombeni ushauri,
Nina tatizo lakutopata usingizi yaani usingizi unaanza kunijia saa 9 nakuendelea
Tatizo hilo limenifanya nirudi kwenye matumizi ya sigara ndio napata usingizi.
Ushauri wenu tafadhari
Nina tatizo lakutopata usingizi yaani usingizi unaanza kunijia saa 9 nakuendelea
Tatizo hilo limenifanya nirudi kwenye matumizi ya sigara ndio napata usingizi.
Ushauri wenu tafadhari