Cjaelewa
Mambo kama haya nenda kwanza hospitali ikishindikana ndo ufikirie kuomba ushauri kwa watu baki. Watakuja wajuaji kama mia hivi na kila mmoja na ushauri wake sijui utafata lipi uache lipi.Habari za humu ndani,
Naomba ushauri huu ugonjwa siuelewi yaani wakati wa haja ndogo kutoka huchanganyika na mafuta yenye rangi ya mawese na yakidondoka kwenye sink la choo huganda haraka sana nikigusa naona ni mafuta kabisa tena yanaharufu mbaya.
Anayejua anisaidiee plz.
nimefungua uzi mbio nikitarajia kukutana na bhange hiziMafuta yamepanda bei afu we unakisima nkuchota 2 kudadek
Mkuu fafanua atume picha ya kisima yanapotokea mafuta au picha ya mafuta tu?Picha basi mkuu,,
Utasaidiwaje bila picha?