STRAGGLE MAN
JF-Expert Member
- Jan 10, 2018
- 698
- 613
Alaf kuna dawa zinaitwa CETIRIZINE kanunue pharmacy sio ghali, zitakusaidia sana hilo tatizo, mm nilikua na hali kama yako ila afadhali kidogo, na hali haisababishwi na vumbi kama watu wanavyofkiria, hio itakua kuna kitu unakula kinakusababishia hali hio so inakua ngumu kupona, MUHIMU ACHANA NA VYAKULA VYA MAFUTA, NYAMA, KARANGA NK