Amour justine
Member
- Apr 11, 2018
- 90
- 57
Nina tatizo la kupata mafua mara kwa mara yaani naweza kua nayo na baada ya siku moja au mbili yamekata na baadaye kurudia tena
Hivi husababishwa na nini?
Hivi husababishwa na nini?
Ngoja niwahi siti ya mbele kabisa
Ni kweli lakini,lakini hayana majira maalumu,iwe mvua au jua ni karahalabda kuna vitu hupatani navyo kwa harufu au unakaa mazingira ya vumbi sana
Ok,asanteTafuna vitunguu swaumu mara kwa mara.
Hiyo ni alergy,epuka vumbi na baadhi ya harufu ambazo ukifuatilia kwa makini utaweza kuziepuka...Nina tatizo la kupata mafua mara kwa mara yaani naweza kua nayo na baada ya siku moja au mbili yamekata na baadaye kurudia tena
Hivi husababishwa na nini?
Ok,Hiyo ni alergy,epuka vumbi na baadhi ya harufu ambazo ukifuatilia kwa makini utaweza kuziepuka...
duh acha wee!Ni moja ya dalili za awali za kuwa na HIV, umewahi kupima hivyo virusi?
Ndo hivyo! Unaweza kugoogle dalili za awaliduh acha wee!
Ndo hivyoduh acha wee!
Yes,mkuuUnapiga chafya kwa sana?
Kabla sijapima nilikua hivyo na baada ya kupima na kugundulika sina hali bado inaendeleaNi moja ya dalili za awali za kuwa na HIV, umewahi kupima hivyo virusi?
Basi ni allergy hiyoKabla sijapima nilikua hivyo na baada ya kupima na kugundulika sina hali bado inaendelea