Jamani sijui ni ugonjwa au ni nini maana nikinywa chai yenye tangawizi iwe imewekwa majani au tangawizi peke yake huwa napata kwikwi sana, naweza mwanzo wa chai hadi mwisho napata kwikiiii au nikila pilipili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.