Msaada: Nina tatizo la kupata Kwikwi nikinywa chai yenye tangawizi

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
Habari wakuu,

Jamani sijui ni ugonjwa au ni nini maana nikinywa chai yenye tangawizi iwe imewekwa majani au tangawizi peke yake huwa napata kwikwi sana, naweza mwanzo wa chai hadi mwisho napata kwikiiii au nikila pilipili.
 
Mimi nikinywa maji niliyotia ndimu au limao.
Napata kwikwi kali sana.

Kuna kipindi nililazwa kabisa, na sikugundua what’s problem! Nilipigwa sindano kadhaa wala sikupona,

Nilikuja hojiwa na sista mkatoliki,kuwa vipi nimekula nini kigeni au hata kama si kigeni, je nimefululiza? Ndo nikagundua ni ndimu inaniletea kwikwi

Wakazi wa pwani wanabanwa wengi na kwikwi, niliwaza labda inaweza ikawa ndimu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom