Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,743
- 3,013
Mh poule SanaaNilishajiribu kwenda hospitali baadhi ya hospitali km vile CCBRT,Hindu Mandal but I wasn't satisfied with the treatment at all and my condition is still the same.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh poule SanaaNilishajiribu kwenda hospitali baadhi ya hospitali km vile CCBRT,Hindu Mandal but I wasn't satisfied with the treatment at all and my condition is still the same.
Pole sana sweety...Mungu wetu ni mwanaminifu...hakuna ashindwalo...atakuponya tu...nasi tutakukumbuka kune maombi...Very sure bro coz always when I remember my old days na ss hv sometym nakosa furaha,inafikia point hadi nawakwepa watu ili mradi nisiongee nao coz siwasikii vizuri.
sasa kama wewe umeenda na hujapona...why unamshauri nae aende?Pole sana mkuu,Mungu akusaidie upone, Mimi ninatatizo la kutokuona vema pia na mishipa kuuma sana ya kichwa, niliende pale International eye Hospital morocco Dr aliniambia ninatatizo la Glaucoma (Pressure ya macho) but alishagaa sana coz umri wangu ni mdogo na glaucoma huwapata watu wazima (angalau kuanzia miaka 50 kwenda juu),pia kama kwenye ukoo kuna mtu mwenye tatizo hilo but kwa upande wangu hayupo nimetrack hadi kizazi cha tatu back sijaona.Dr. alinipa dawa eye drop nimetumia kama miezi 10 hiv but tatizo lipo palepale, na nikienda kwa dr.anasema pressure imeshuka ipo normal now ila bado sijapona.Nakushauri mkuu uende hapo Internaltional Eye hospital, fanya vipimo vya damu pamoja na nerve,I'm also planning kufanya hivyo
huu ushauri ni mzuri kuliko zotePole sana ndugu, jaribu kupita kwenye majengo yanaitwa Hospitali.
Just akajaribu tusasa kama wewe umeenda na hujapona...why unamshauri nae aende?
Hili tatizo limenisumbua sana ila kidogo nikapata ninanafuu...Hilo tatizo ata Mimi linanisumbua mrejesho tafadhari
Nimejisikia vibaya sana kwa hali uliyo nayo.
Mungu akugange na akufanye Upya katika Jina la YESU KRISTO amen.
Nafuu ni kwenye masikio au macho mkuu...?Hili tatizo limenisumbua sana ila kidogo nikapata ninanafuu...
Nafuu ni kwenye masikio au macho mkuu...?
Pole sana ndugu.
Kwa Yesu kuna uponyaji wa kweli wanaposhindwa madakitari wa elimu dunia YESU hashindwi
Nakuomba uje ktk ibada upokee uponyaji wako utaombewa na utapona.
Kama upo Dar nijurishe pm ili nikuelekeze pahali pa kufanyiwa maombi upone.
Hapana mimi sisikii ganzi...Nataka kujua kwanza na wewe ganzi unaisikia kama alivyosema jamaa?
Mkuu.Hili tatizo limenisumbua sana ila kidogo nikapata ninanafuu...
Ni miaka saba sasa imepita tangu nipate tatizo hili la kuona na kusikia,macho yangu hayana maumivu ya aina yoyote, hayawashi, hayachomi wala hayanisumbui kwa chochote isipokuwa kutoona vizuri.
Masikio yenyewe hunipa usumbufu wa kutoa mwangwi ndani yake (yaani nikiongea najisikia) hasa naposimama kwa muda mrefu, napotembea juani sana, ninapokuwa na njaa ila nikikaa chini mwangwi hupotea au ninapogeuza shingo.
Matatizo mengine yanayoambatana na hili ni kupatwa na ganzi ktk ncha za vidole vyote vya mikono, Kukosa balance napokuwa natembea pamoja na kutokuwa na nguvu ya kutosha ya mwili.
TAFADHALI KAMA KUNA MWENYE UELEWA AU DAKTARI BINGWA NAOMBA MSAADA KUJUA TATIZO LANGU LINATIBIKA AU LA.
Ni maelezo marefu kidogo labda tuzungumze kwa simu manake kuandika yote hayo siwezi labda nikuPM namba tuongee vizuri.....Mkuu.
Ulikua unapepesuka, maskikio kuuma na uhafifu wa macho. Kama ndio ulitumia tiba ipi
Dah asante mkuu nimeisave number nitamchekiMtafute Dr EDWIN muhimbili mtaalam wa vifaa vya masikio.... nadhani na macho pia
Nimerudi wakuj,Hapana mimi sisikii ganzi...
Yes,mimi nina usikivu mdogo na macho yangu hayaoni vizuri nikisoma,kwahiyo navaa miwani.Ukweli maisha haya yana changamoto nyingi sana,kuna wakati inabidi uwe mpole na kukaa kimya kwani unaweza kujikuta unachangia kitu kisichokuwepo,vitu kama mitandao vimenisaidia sana kuniondolea upweke especially inapotokea kuna watu wanaongea jambo na mimi siwasikii...Nimerudi wakuj,
Vp nawe una uono hafifu na usikivu mdogo mkuu km mm?
Dah mi hadi nilishaizoe hali hii yaani mtu akinipigia simu namwambia nipo kwenye kelele tuma msg au km vp nitafute usiku pakiwa pametulia.
Maana nilikuwa najipa stress ss nimeshazoea na ninaongea na watu wanaonielewa hali yangu wale wenzangu na mm wanaokereka ukiwa unaitikaitika kutokana na kutomsikia vizuri na wkt umeshamwambia una tatizo flani huwa sipendi hata kuwa nao karibu.
Maisha lazima yaendelee as long bado tunapumua.