Ibrahim. H
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 316
- 92
Msaada.
Nina tatizo la kukojoa Sana usiku. Kuliko mchana tofauti na apo awali kwa usiku mmoja naweza amka kukojoa ata Mara 7 au 8. Na nikianza hivyo naanza kujihisi kiu ya maji na nikinywa basi hali itazidi kuendelea hivyo hivyo hadi. Kunakucha.
Naomba ushauri kwa mwenye uelewa niondokane na hali hii
Nina tatizo la kukojoa Sana usiku. Kuliko mchana tofauti na apo awali kwa usiku mmoja naweza amka kukojoa ata Mara 7 au 8. Na nikianza hivyo naanza kujihisi kiu ya maji na nikinywa basi hali itazidi kuendelea hivyo hivyo hadi. Kunakucha.
Naomba ushauri kwa mwenye uelewa niondokane na hali hii