wete
Member
- Nov 16, 2012
- 85
- 58
Nimekua nasumbuliwa na tatizo la mkojo, yaani unabana sana nisipowahi kukojoa unaanza kutoka vitone tone hasa unapokaribia choo ndo balaa, Kama asubuhi nakua sijala wala kunywa chochote lakini naweza kwenda hata zaidi ya mara 2 kwa lisaa choon. Hili tatizo linaninyima hata raha ya kunywa maji asubuhi kuhofia kwenda chooni mara kwa mara.
Kuna muda mwingine unaweza kubanwa sana ukifika kukojoa unatoka mkojo mdogo wa kawaida kulinganisha na ulivokua umebanwa unaona Kama kuna tatizo.
Nimepunguza Sana unywaji wa maji kutokana na tatizo hilo na mzingira yangu ya kazi na choo viko mbali kidogo.
Naombeni ushauri ndugu zangu.
Kuna muda mwingine unaweza kubanwa sana ukifika kukojoa unatoka mkojo mdogo wa kawaida kulinganisha na ulivokua umebanwa unaona Kama kuna tatizo.
Nimepunguza Sana unywaji wa maji kutokana na tatizo hilo na mzingira yangu ya kazi na choo viko mbali kidogo.
Naombeni ushauri ndugu zangu.