X-12
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 444
- 647
nenda hospital kwanzaWakuu habari zenu,
Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?