ndizi mbaya
Member
- Jul 16, 2019
- 34
- 9
Habarini wana JF,
Mimi ni ninaepitia changamoto nyingi sana za kimaisha ,ni mwenyeji wa Dar es Salaam nina mpango wa kwenda Mombasa kutafuta maisha. Naombeni mnifahamishe itanigharimu shilingi ngapi kutoka Dar hadi Mombasa. Na je inatanibidi nawe na passport yaku ya kusafiria?
Nawasilisha
Mimi ni ninaepitia changamoto nyingi sana za kimaisha ,ni mwenyeji wa Dar es Salaam nina mpango wa kwenda Mombasa kutafuta maisha. Naombeni mnifahamishe itanigharimu shilingi ngapi kutoka Dar hadi Mombasa. Na je inatanibidi nawe na passport yaku ya kusafiria?
Nawasilisha