Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
Wapendwa wanagreatthinker,,,ninamiaka 40 sasa,nilikuwa na dill na mambo ya hotel,(barman) ..nataka kufanya kz ingine ambayo nitafanya kama ten years or 15 year kama mungu akipenda.. Nataka kujifunza udereva wa magari makubwa,malori yanayopeleka mzg nje ya nchi,,je itachukuwa muda gani mpaka kujua? 2,baada ya kujua kutahitajika kitu gani,zaidi 3 na unapata leseni daraja lipi?4gharama zake ni vp? 5 malipo yake yakoje(salary). Natanguliza shukranr.