Kesi ya Money Laundering inaishaje kea chat za simu?Kama una chating na huyo muuzaji basi kesi imekwisha hapo.
Kesi ya Money Laundering inaishaje kea chat za simu?Kama una chating na huyo muuzaji basi kesi imekwisha hapo.
Hahahaa yeye amenunua online inatakiwa mwenye zoom ndio awe anaverify uhalali wa bidhaa na muuzaji,mimi ni mteja tu.Kesi ya Money Laundering inaishaje kea chat za simu?
1. Zoom au Kupatana?Hahahaa yeye amenunua online inatakiwa mwenye zoom ndio awe anaverify uhalali wa bidhaa na muuzaji,mimi ni mteja tu.
Kuna mtu alieleza jinsi matapeli wanavyouza simu na kukubambika kesi kwa kutruck simu hyo na kujifanya walipoteza ikiwa na mali zngne nyingi.Ndio
wame ku truck??
Mimi binafsi mwaka huuhuu jamaa nilimkamata kama bwege. Alinunuansimu ya wizi nikamtrack.Tabia ya kupenda kununua electronic equipments au magari kutoka mikononi mwa watu ni hatarishi sana. Kuna rafiki yangu mmoja alidhani kaokota dodo jangwani na kununua Ipad kwa bei poa. Alikuja kuokotwa Mlimani City kama kifaranga cha bata. He had to pay excessively kumaliza lile soo.
Kwa namna ambavyo Jeshi letu linavyofanya kazi zake, hizo chatting hazitasaidia chochote.Kama una chating na huyo muuzaji basi kesi imekwisha hapo.
uachege kuiba mwananguHabari, naomba ushauri juu hili suala.
Nilinunua bidhaa kupitia mtandao wa Kupatana. Sasa nakabiliwa na kesi ya wizi.
Naombeni ushauri juu ya hili.
Umeongea kitu ambacho watu wanakikwepa.Hahahaa yeye amenunua online inatakiwa mwenye zoom ndio awe anaverify uhalali wa bidhaa na muuzaji,mimi ni mteja tu.
Kwani hukudai risiti? Uhalali wa mauziano Ni risiti. Kama ungenunua gari kupatana je usingedai kadi? Usingeenda TRA kubadilishana jina?Habari, naomba ushauri juu hili suala.
Nilinunua bidhaa kupitia mtandao wa Kupatana. Sasa nakabiliwa na kesi ya wizi.
Naombeni ushauri juu ya hili.
Kasome terms and conditions prio kujiunga.Umeongea kitu ambacho watu wanakikwepa.
Jamaa kanunua kitu Online, kupatana wamesajiliwa wanauza vitu vya wizi.
Kule kupatana unatakiwa ujisajili ili uweze kuuza kitu. Je mwenye makosa ni kupatana au mnunuzi?
Mkuu nenda mahakamani unashinda hii kesi.
ucha use***ge weweHayawez kunikuta design kama hizo. Kama Sina hela bora nibaki nilivyo. Wewe unataka vizuri unaleta ubahili. Umelikoroga linywe.
#Kila mchuma janga hula na wa kwao#
. Very well adviceMkuu vitu second hand vya mbongo ni mkosi, utakuja kupata kesi ya kichwa.
fikiria kama iliko ibwa kauwawa mtu, au vyuma vya moto vilitumika.
Only buy what you can afford, if you can't buy direct from the shop because it's expensive, then wait until you can afford it.
Sure hajanunua kwa mtu barabarani. Hii inafanya wengine kuogopa kufanya biashara kupitia hiyo kupatanaUmeongea kitu ambacho watu wanakikwepa.
Jamaa kanunua kitu Online, kupatana wamesajiliwa wanauza vitu vya wizi.
Kule kupatana unatakiwa ujisajili ili uweze kuuza kitu. Je mwenye makosa ni kupatana au mnunuzi?
Mkuu nenda mahakamani unashinda hii kesi.
Mwenye Makosa ni Kupatana yeye ndio mwenye authority ya kuverify wauzaji wake kama genuine na wanaweka vitu genuine na ikitokea fraud au sintofahamu yeyote kupatana ndio atoe taarifa wapi muuzaji anapatikana.Umeongea kitu ambacho watu wanakikwepa.
Jamaa kanunua kitu Online, kupatana wamesajiliwa wanauza vitu vya wizi.
Kule kupatana unatakiwa ujisajili ili uweze kuuza kitu. Je mwenye makosa ni kupatana au mnunuzi?
Mkuu nenda mahakamani unashinda hii kesi.