kichui2018
Member
- Jan 10, 2019
- 7
- 7
Habari, naomba ushauri juu hili suala.
Nilinunua bidhaa kupitia mtandao wa Kupatana. Sasa nakabiliwa na kesi ya wizi.
Naombeni ushauri juu ya hili.
Nilinunua bidhaa kupitia mtandao wa Kupatana. Sasa nakabiliwa na kesi ya wizi.
Naombeni ushauri juu ya hili.