Upo sahihi kabisa, kama polisi wanasumbua jamiiforums inayotumia Id feki iwape informations inashindwaje kuibana kupatana iwape informations za Sellers wao?Mwenye Makosa ni Kupatana yeye ndio mwenye authority ya kuverify wauzaji wake kama genuine na wanaweka vitu genuine na ikitokea fraud au sintofahamu yeyote kupatana ndio atoe taarifa wapi muuzaji anapatikana.
Kupatana Wanaweza wakaweka masharti magumu ya Sellers mfano Lazima wawasilishe vitambulisho vya taifa n.k ili kuhakikisha mnunuzi yupo 100% safe.
Haya mambo wenzetu akina Ebay walishayapitia kitambo.