Msaada: Nina kesi ya wizi baada ya kununua bidhaa Kupatana.com

Mwenye Makosa ni Kupatana yeye ndio mwenye authority ya kuverify wauzaji wake kama genuine na wanaweka vitu genuine na ikitokea fraud au sintofahamu yeyote kupatana ndio atoe taarifa wapi muuzaji anapatikana.
Upo sahihi kabisa, kama polisi wanasumbua jamiiforums inayotumia Id feki iwape informations inashindwaje kuibana kupatana iwape informations za Sellers wao?

Kupatana Wanaweza wakaweka masharti magumu ya Sellers mfano Lazima wawasilishe vitambulisho vya taifa n.k ili kuhakikisha mnunuzi yupo 100% safe.

Haya mambo wenzetu akina Ebay walishayapitia kitambo.
 
Upo sahihi kabisa, kama polisi wanasumbua jamiiforums inayotumia Id feki iwape informations inashindwaje kuibana kupatana iwape informations za Sellers wao?

Kupatana Wanaweza wakaweka masharti magumu ya Sellers mfano Lazima wawasilishe vitambulisho vya taifa n.k ili kuhakikisha mnunuzi yupo 100% safe.

Haya mambo wenzetu akina Ebay walishayapitia kitambo.
Kabisa kiongozi kupatana inabidi wawe wanafanya KYC ili sisi wanunuzi tusiwe na shaka kuhusu sellers ambo ni customers wake.
 
Mjini mipango, ulishaletwa uzi humu ukielezea namna mapolisi na matapeli wanavyopanga upigaji wa aina hii
Unauziwa kitu halafu unalengeshwa kwa mapolisi
ni kweli na pia ilishauriwa kubadili imei labda ya kuweka line na kutumia
 
Mimi binafsi mwaka huuhuu jamaa nilimkamata kama bwege. Alinunuansimu ya wizi nikamtrack.

Wezi ni watu wabaya sana na wanarudisha maendeleo ya watu nyuma. Sasa na sisi kununua kitu bila ya uhakika na chanzo chake ni kuwasapoti wezi. Lazi watu wajifunze.
Nina uhakika nilichomfanyia yeye na ukoo wake wote hawatarudia makosa yale!
Ilikua simu gani mkuu na ulitumia software ipi kumtrack mpaka ukapata mali yko share na sisi kama huto jali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani

Kwani hukudai risiti? Uhalali wa mauziano Ni risiti. Kama ungenunua gari kupatana je usingedai kadi? Usingeenda TRA kubadilishana jina?
Risiti kwani kanunua dukani??? Kanunua kwa mtu ambae alikua anakitumia kitu chake akaamua akiuze hapo risiti ya nn. Haya mamb yakuuziana vitu mkononi yapo dunia nzima kama jamaa ana ushahid kua kanunua mtandaoni kesi sio ngumu japokua atateseka kwa mda kidogo. NB hakuna sheria hapa TZ inayo kataza kununua vitu mkononi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom