Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Muda woooote najihisi kuwashwawashwa tu kuchangia au kuanzisha mada hapa pasina kujali kama mada ina mantiki au ni ya kipuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtukane mod akupige ban...Muda woooote najihisi kuwashwawashwa tu kuchangia au kuanzisha mada hapa pasina kujali kama mada ina mantiki au ni ya kipuuzi.
Ndiyo maana kila siku bibi yko analalamika bando inaisha kumbe huwa unamwibia simu akiwa hayupo.... Mm nikiwa Kama raia mwema sijakipenda hiki kitu...Muda woooote najihisi kuwashwawashwa tu kuchangia au kuanzisha mada hapa pasina kujali kama mada ina mantiki au ni ya kipuuzi.
Duuh mkuu hiyo sio tutakuwa tunaua inzi kwa nyundo?Uza smart phone tumia Nokia Obama ndio tiba yake la sivyo utaendelea kuwa muathilika hii JF haijalishi una mda au hauna mda lazima uchungulie na ukichungulia kama ulipanga angalau dk 5 unajikuta saa nzima humo
Mtukane mod akupige ban...
Ndiyo maana kila siku bibi yko analalamika bando inaisha kumbe huwa unamwibia simu akiwa hayupo.... Mm nikiwa Kama raia mwema sijakipenda hiki kitu...
Mkuu unantakia mema kweli?Mtukane mod akupige ban...
Kwani wewe ni mstaafu?Muda woooote najihisi kuwashwawashwa tu kuchangia au kuanzisha mada hapa pasina kujali kama mada ina mantiki au ni ya kipuuzi.
😂😂😂😂😂😂jibu safi kabisaMtukane mod akupige ban...