Wewe ni me au ke?Mshenzi mkubwa wee. Hivi unakuwaje na roho mbaya kiasi hicho kwa mtu uliyewahi kumpenda? Unachofanya ni conspiracy to murder.Utamletea maradhi mkeo.
Unatakiwa ushitakiwe kwa kuhatarisha maisha yake. Unapitapita mkavu mkavu? Huko unakopita pita unajua na hao wamepitiwa na nani na wanapita wapi? Kama umechoka maisha si ujirushe mwenyewe, yanini uhatarishe na maisha ya mwenzio? Hopefully, hamna watoto na mkeo ningemjua ningemwambia, akapime afya.
Acha ubinafsi, mueleze umalaya unaoufanya ili achukuwe tahadhari dhidi yako.