Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,565
- 15,920
Ili amani iwepo Bora asimwambie.Mke wangu tunaishi vizuri kwa kuaminiana!
Uaminifu gani huo mpaka uzae na kuzaa huko uliko?!
Mwambie mkeo ukweli, ataumia, atakusamehe sababu mmezaa lakini hatokaa asahau!