900 itapendeza
Senior Member
- Nov 17, 2017
- 113
- 103
Nianze kwa salamu ziwafikie wanajamvi wooote, nimatumaini yangu muwazima wa afya njema!
Nirudi kwenye maada, takriban siku 20 zimepita toka nisajil laini yangu ya simu katika mawakala wa moja kati ya makampuni ya simu hapa nchini. Usajil huo ulifuata kanuni na taratibu zote kama ilivyo ada. Tatizo lililopo nikwamba baada ya wiki moja kupita nilianza kutumiwa jumbe kutoka kampuni ya tala wakidai marejesho ya mkopo wao.
Kiukwel hapo awali nilipuuzia lakini kadri jumbe hizo zilivyo zidi nilichukua hatua ya kuwasiliana na kitengo cha huduma kwa wateja kupitia kampuni ya mawasiliano ya simu husika, lakini sikuweza kupata ufafanuzi wa kueleweka kuhusu tatizo hili ,chaajabu leo nimetumiwa ujumbe na hao watu wa tala wakidai nirejeshe mkopo wangu wa tala kabla ya dec 17,
Kituambacho sikifahamu na wala sijui mkopo huo unapatikana vipi, pia kama kuna mtu anaufahamu juu ya kampuni hii naomba anipe uelewa juu ya menyu zake iliniweze kutatua tatizo tajwa,
ahsanteni
Nirudi kwenye maada, takriban siku 20 zimepita toka nisajil laini yangu ya simu katika mawakala wa moja kati ya makampuni ya simu hapa nchini. Usajil huo ulifuata kanuni na taratibu zote kama ilivyo ada. Tatizo lililopo nikwamba baada ya wiki moja kupita nilianza kutumiwa jumbe kutoka kampuni ya tala wakidai marejesho ya mkopo wao.
Kiukwel hapo awali nilipuuzia lakini kadri jumbe hizo zilivyo zidi nilichukua hatua ya kuwasiliana na kitengo cha huduma kwa wateja kupitia kampuni ya mawasiliano ya simu husika, lakini sikuweza kupata ufafanuzi wa kueleweka kuhusu tatizo hili ,chaajabu leo nimetumiwa ujumbe na hao watu wa tala wakidai nirejeshe mkopo wangu wa tala kabla ya dec 17,
Kituambacho sikifahamu na wala sijui mkopo huo unapatikana vipi, pia kama kuna mtu anaufahamu juu ya kampuni hii naomba anipe uelewa juu ya menyu zake iliniweze kutatua tatizo tajwa,
ahsanteni