Hongera kwa Kupona CoronaNdugu zangu takriban nina siku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
Hongera kwa Kupona CoronaNdugu zangu takriban nina siku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
Ukifikia hatua ya kupoteza uwezo wa kunusa na radha ujue umepona covid ,yani kovidi imeshindwa nguvu na mwili uwezi kufikia hizo steji ulizo semapole sana mkuu wangu..naomba nikuulize maswali machache
●je hupati homa?(mwili kuchemka)
●Je hujaugua mafua au kikohozi hivi karibuni?
● kifua hakikukuumi au kubana?
●Huharishi?
●Mwili hauukumi yaani maumivu ya viuongo?
kama majibu yote ni ndiyo kacheki x_ray kucomfirm kama una viral pneumonia(corona)
pia unaweza kupima vipimo vingine kujua zaidi.
Binafsi mimi ni daktar lakini hizo dalili zilinipata baada ya kupima nikakutwa na covid 19 hapa nilipo natumia matibabu na ninaendelea vyema
Mimi ndio niko napambana nayo hapa, sipati harufu yoyote ile siku ya tatu ss, nilipima ni maralia na u.t.i nmetumia dawa wapiii, hali bado ikawa mby, now najifusha natumia malimao tangawizi kwa wingi, pia kuna dawa ya asili natumia mambo safi, korona Africa itapigwa kiafrika na co vinginevyo.Siku mbili tu unalialia mi week sasa sinusi kitu ila homa imepona na kikohozi
Wewe ni sawa na mimi nilipoteza sense ya kunusa kwa takribani wiki mbili na zaidi ila nilipona bila kutumia kitu chochote..Yaani siku mbili tu?? Mwenzio wiki inaenda ya pili sasa
Anza mafusho, pia chukua limao changanya na kitunguu saumu, na tangawizi ponda chemsha zen iwe juisi yako hiyo, mm ndio imenipa ahueni leo mana wiki sasa nipo kitandani.mimi kifua kinauma na koon apa kama kumeziba yani.
huo mchanganyiko wa limao na kitunguu saumu na tangawizi maji kiasi.gani mkuu naweka na je matokeo baada ya siku ngapi?Anza mafusho, pia chukua limao changanya na kitunguu saumu, na tangawizi ponda chemsha zen iwe juisi yako hiyo, mm ndio imenipa ahueni leo mana wiki sasa nipo kitandani.
Maji Kadiria kdg tu yasiondoe ladha ya mchanganyiko au km utapata malimao yatakayojaza kikombe hupaswi kutia maji mkuu, matokeo kulingana na mwili wako, mm nmetumia leo na leo leo ndo nmepata ahueni, hapa naweza hata ku type lkn kuanzia jana nilikuwa hoi sana.huo mchanganyiko wa limao na kitunguu saumu na tangawizi maji kiasi.gani mkuu naweka na je matokeo baada ya siku ngapi?
pole.mkuu na asante sanaMaji Kadiria kdg tu yasiondoe ladha ya mchanganyiko au km utapata malimao yatakayojaza kikombe hupaswi kutia maji mkuu, matokeo kulingana na mwili wako, mm nmetumia leo na leo leo ndo nmepata ahueni, hapa naweza hata ku type lkn kuanzia jana nilikuwa hoi sana.
Mana nilienda hospitali nikapima nikakuta marelia na u.t.i, dawa nmemaliza mda lkn hali ikawa inazidi kuwa mby, kilichonistua ni kupoteza harufu mwili kuuma, na joto kali la mwili, lkn jioni hii nilipiga fusho nikachukua na hiyo grasi ya huo mchanganyiko ndo angalau sasa niko poa, kesho asubuhi tena napiga fusho zen mchanganyiko wangu siachi km kawaida.pole.mkuu na asante sana
fusho ndo unaweka ni na nnMana nilienda hospitali nikapima nikakuta marelia na u.t.i, dawa nmemaliza mda lkn hali ikawa inazidi kuwa mby, kilichonistua ni kupoteza harufu mwili kuuma, na joto kali la mwili, lkn jioni hii nilipiga fusho nikachukua na hiyo grasi ya huo mchanganyiko ndo angalau sasa niko poa, kesho asubuhi tena napiga fusho zen mchanganyiko wangu siachi km kawaida.
Kwa dalili hizo, ulikuwa na corona na sasa inakutokaNdugu zangu takriban nina siku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
Mchaichai, muembe, muarobaini, mpera, Mdimu, na tangawizi zen unachemsha pamoja.fusho ndo unaweka ni na nn
Nami nilipoenda hosp majibu niliyopewa nikapewa hayo na nikaandikiwa hizo dawa ndo Bado natumia mkuu ila huu ugonjwa unatesa sana mkuu achane tuMm ilinikuta hii nkatumia hizo ampilclox lakini wapi,mwili ulikua na joto,viungo kuuuma ,kuharisha kidogo ,koo linauma nkimeza mate kwenda kupima malaria hakuna uti hakuna ikabidi nichukua dozi ya azuma,vitamin c ,ped zinc na kutengeneza dawa ya kienyeji kama ya nimr ndo nkawa sawa
Ulichukua mda gan kulicover mkuuMm ilinikuta hii nkatumia hizo ampilclox lakini wapi,mwili ulikua na joto,viungo kuuuma ,kuharisha kidogo ,koo linauma nkimeza mate kwenda kupima malaria hakuna uti hakuna ikabidi nichukua dozi ya azuma,vitamin c ,ped zinc na kutengeneza dawa ya kienyeji kama ya nimr ndo nkawa sawa
Siku 3 tu nkawa poaUlichukua mda gan kulicover mkuu