protogonist
Senior Member
- Feb 27, 2018
- 179
- 226
Habari wakuu,
Nimekuja mbele yenu naomba msaada. Nimepoteza ladha ya mdomo lips zangu zinakuwa nyekundu sana hasa ya chini pia lips ya chini inakuwa kama imevimba na kufa ganzi mdomo hauna ladha kabisa nakuwa kama mtu aliyetumia dawa ilihali sijatumia dawa yoyote msaada wakuu.
Nini tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja mbele yenu naomba msaada. Nimepoteza ladha ya mdomo lips zangu zinakuwa nyekundu sana hasa ya chini pia lips ya chini inakuwa kama imevimba na kufa ganzi mdomo hauna ladha kabisa nakuwa kama mtu aliyetumia dawa ilihali sijatumia dawa yoyote msaada wakuu.
Nini tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app