Habarini,
Leo nilienda CRDB ya TFA Arusha kuchukua pesa, sasa baada ya kutoa risiti nikagundua kuwa kuna pesa haipo. Nikaamua kuingia ndani nkaomba statement. Nilichokuta, nusura nizimie.
Inaonekana ile pesa imetolewa tareh 8 kwa njia ya simbanking kiasi tofauti tofauti Mara 5 na pesa hiyo iliingia kwenye simu yangu, kitu ambacho sijafanya kabisa, na nilipojaribu kuhoji sijapewa majibu ya kuridhisha.
Naombeni ushauri nifanyaje.
Leo nilienda CRDB ya TFA Arusha kuchukua pesa, sasa baada ya kutoa risiti nikagundua kuwa kuna pesa haipo. Nikaamua kuingia ndani nkaomba statement. Nilichokuta, nusura nizimie.
Inaonekana ile pesa imetolewa tareh 8 kwa njia ya simbanking kiasi tofauti tofauti Mara 5 na pesa hiyo iliingia kwenye simu yangu, kitu ambacho sijafanya kabisa, na nilipojaribu kuhoji sijapewa majibu ya kuridhisha.
Naombeni ushauri nifanyaje.