lady mmarangu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 306
- 164
Naamin wote mko salama kwa uweza wa MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.
Jana niliamka salama kabisa,nikatoka kidogo kwenda kutafutia watoto mboga,kufika tu kibandani nikapigwa upepo kidogo tu usoni ,
Nimerudi nyumbani naumwa usoni upende wa kulia kwa ndani,na nyuma ya sikio kama vile mishipa ndo inauma yani hata kutafuna kitu siwezi , ukweli nasikia maumivu dah! Msada kwa anayeweza kujua shida ni nini.
Jana niliamka salama kabisa,nikatoka kidogo kwenda kutafutia watoto mboga,kufika tu kibandani nikapigwa upepo kidogo tu usoni ,
Nimerudi nyumbani naumwa usoni upende wa kulia kwa ndani,na nyuma ya sikio kama vile mishipa ndo inauma yani hata kutafuna kitu siwezi , ukweli nasikia maumivu dah! Msada kwa anayeweza kujua shida ni nini.