Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika uboraMmmh hiyo kali anaoga mara 8-10..
Mchunguze vizuri asee
Hahahah duuu halafu wewKatika ubora
Hilo Jini......UmekwishaHabari za jioni wakuu , poleni na majukumu Yakutwa nzima.
Wacha niende kwenye point nisiwachoshe sana nipo katika mahusiano mwaka sasa. Nampenzi wangu huyu ambaye tayali ameshaanza ku process swala la ndoa.
Kinachonipa hofu na mashaka juu ya kaka huyu kunatabia mpya imezuka. Inanipa hofu
Napolala usiku nikistuka na mkita pembeni yangu
Na hana ufunguo wahala kwangu.
Napo muuliza anasema nilisahau kuufunga mlango ivo aliingia nakuufunga yeye. Kitu ambacho sikweli nilifunga na huakika.
Pia kuhusu kuoga namuhesabia kwasiku anaoga mara 8 adi 10 sasa hili linanichsnganya kila mda anaoga nashindwa kuelewa napomuuliza anasema kawaida tu.
Nimetoka kazini nimemkuta ndani na nyumba yangu nilifunga jioni hii nimeshangaa sana , namuuliza unaingiaje wakati nimefunga anasema mlango ulikua wazi.
Kingine nikwamba kwenye gari anayotumia kumekua ns harufu mpya ya marashi makali sana napo muuliza anasema yy hasikii. Naishi kwa mashaka sana.
Tabia hizi zinanitisha sana hasa hii yakuja nyumbn bila kujua anaingia vipi. Nimebadili kitasa nakuficha funguo zote nilijua anachonga funguo lakin napolala usiku namkuta seblen au kitandani nawaza sn pamoja na kubadili kitasa.
Nifanyeje nimeingiwa na hofu sana juu yake.
Hahahahahahaha..mimi ndio.halafu umemisika huku chalii anguHahahah duuu halafu wew