Malyakishu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,968
- 2,338
Kama nikweli jikite katika maombi
Hahah labda jamaa ni mfanyabiashara wa mkaa au fundi makanika...Mmmh hiyo kali anaoga mara 8-10..
Mchunguze vizuri asee
Hahahha ndio mara 10?Hahah labda jamaa ni mfanyabiashara wa mkaa au fundi makanika...
Asante mkuuPole sana
Maombi ndio kila kitu
ila kwa ushauri wangu ingawa ni vigumu ni kwamba, jaribu kumpotezea na kuona kama hali ya kawaida,
Kuna msemo unasema ( DAWA YA UCHAWI NI KUUPOTEZEA ) ukiwa upo nao makini kuufatilia utaumia kichwa cha kufanya chukulia jambo la kawaida na kama unahisi mabadiliko ni vyema ufanye utaratibu kuwa mwenyewe au kuwa na mtu mwingine.
Kikubwa ni imani....
Unaniacha vipi sasa? Nisubiri twende woteNaogopa hata kuchangia. Hao viunbe, asije akanifata mie. Im sorry
Ushindwe katika jina la YESUUnaniacha vipi sasa? Nisubiri twende wote
Binti wa upako Yesu kasema tupendane, usininyanyapaeUshindwe katika jina la YESU
Uwiiii we dada una roho ngumu kuishi na jini aseee ni hatarii yaaan wee unatakiwa ukashinde kanisaniAmeen nitafanya ivo lakini ata napoongea na mtu faragha huwa ananiambia. Ninachoongea nahuyo mtu anayapata mawasiliano yangu hii ajabu sn afu hatumii smart phone