chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 735
- 1,208
Kweli mzeeeMkuu bora kuuza kuliko dhamana.
Utapigwa kijini sahau upoteze kila kitu.
Kweli mzeeeMkuu bora kuuza kuliko dhamana.
Utapigwa kijini sahau upoteze kila kitu.
Kwa kweli hesabu hujui mkuu omba msaada usizidi kuibiwa kwenye biashara zako.
Kama anaeza rudisha na 20% atashindwa 2.5?2.5 urudishe upo tayari
Mkuu tuelekezane hukoUngekuwa unauza hicho kiwanja angalau ila kukopeshana hapana
Ila ukitatua changamoto zako nitafute uingie sehemu ambayo ikiwa na dharura unapata ela
Ukiitaji mtaji unapata ela
Mkopo ni 30% interest kwa siku 30.Husika na kichwa cha habari.
Mimi ni dada mfanyabiashara, mpambanaji, ila nimekwama kidogo nahitaji mkopo wa Haraka takupa dhamana ya bodaboda (Mpya Haina hata mwaka) na dhamana ya kiwanja kipo Kigamboni, nimekwama jamani, anayefahamu mtu au taasisi kindly PM.
Asanteni
Nadhani mchangiaji anamaanisha kurudisha 2.5m kwa mkopo wa 2m. Kwa maana ya arudishe na interest ya 25% badala ya 20%.Kama anaeza rudisha na 20% atashindwa 2.5?
Nitakupatia kadi yake na dhamana means nikishindwa kulipa a utaiuza ( ingawa Nina uhakika sitashindwa mana ni pesa nahitaji kwa ajili ya kureplace machine moja wapo ya ofisini Kwangu) naweza kukupatia pia cash flow records za biashara yangu ili ujiridhishe
Kigamboni sehemu gani nilitaka kuuliza hivyo
Hongera mnoAsanteni, nilishapata msaada wa 2,000,000 bila hata collateral ya kiwanja na bodaboda Kazi iendelee
Kama uko tayari nashida na mkopo wa 700,000 dhamana ni kadi ya gari nitarudisha 1,000,000 kwa miezi 5Iyo bodaboda unamaanisha nitakuwa nikiiyangalia tu au unaniruhusu niitembelee au nakaa na kadi?
Pia nataka kufahamu kama ukishindwa kurudisha je tunataifisha hizo dhamana?!!!
Sehemu hiyo ni ipi na ina vigezo gani kuingia...am interestedUngekuwa unauza hicho kiwanja angalau ila kukopeshana hapana
Ila ukitatua changamoto zako nitafute uingie sehemu ambayo ikiwa na dharura unapata ela
Ukiitaji mtaji unapata ela
Wenye hela hawana huruma na wenye huruma hawana hela.waTz kwenye swala la huruma limewakaria kushoto sana
kaka ngoja nikueleze Mimi Sina hiyo pesa, Ila pia waTz wengi wazushi tu ,angalia hapo maswali yalivyojuwa mengi pasipo kujitokeza hata mrummoja ambaye anaweza kukupoa hiyo pesa.
Mtaznzania yupo lazi amnyime nduguye atumie pesa hiyohyo akalie Bata
watz tuwe waungwana
Umesharejesha ela ya watu?Asanteni, nilishapata msaada wa 2,000,000 bila hata collateral ya kiwanja na bodaboda Kazi iendelee
Ni vzr tukapata feedback