Msaada: nimenunua kitu online ninahitaji kujua hapa TZ unapokelea wapi?

Indian

JF-Expert Member
Oct 27, 2012
822
708
Wanajf heshima kwenu, kwa ukweli mmi ni mgeni na nimenunua hii kitu kwa matumizi yangu ya kawaida tu naomba mwenye kupajua mahali ambapo unapokea hii mizigo inayotumwa kutoa ebay anijuilishe.

ahsanteni na ninaamini mutanipatia ushirikiano mzuri
 
Cha msingi angalia hao ebay watatumia shipping COURIER gan kuleta mzigo wako hapa tanzania kati ya DHL,FEDEX,TNT, UPS, EMS etc, na watakupatia tracking number then mzigo wako ukifika kama unadhaman zaidi ya dola tano utafikia custom then utapigiwa cm kwa ajili ya kwenda kulipia ushuru kama ushuru utakuwa chin ya dola mia utalipia kwenye COURIER. Then mzigo wako utapata release na kwenda kuuchukua kwenye any of the shipping COURIER used au unaweza kuletewa hadi ofisin kwako km uko mjini.
 
Cha msingi angalia hao ebay watatumia shipping COURIER gan kuleta mzigo wako hapa tanzania kati ya DHL,FEDEX,TNT, UPS, EMS etc, na watakupatia tracking number then mzigo wako ukifika kama unadhaman zaidi ya dola tano utafikia custom then utapigiwa cm kwa ajili ya kwenda kulipia ushuru kama ushuru utakuwa chin ya dola mia utalipia kwenye COURIER. Then mzigo wako utapata release na kwenda kuuchukua kwenye any of the shipping COURIER used au unaweza kuletewa hadi ofisin kwako km uko mjini.

Ahsante mkuu ninauthamini mchango wako ila mpaka sasa wamenitumia email number tuu na wanasema nisiifute, tueendelee kuelimishana

Ahsante.
 
Mkuu ukijiunga na ebay utatakiwa kujaza mailing address yako ili ukinunua vitu wanakutumia kwa box yako.
Mie nipo ebay na nanunua kwa mwaka wa tatu sasa na vitu vyote nachukua posta,
kama kuna ishu yoyote huelew ni pm nitakusaidia.
 
Mkuu ukijiunga na ebay utatakiwa kujaza mailing address yako ili ukinunua vitu wanakutumia kwa box yako.
Mie nipo ebay na nanunua kwa mwaka wa tatu sasa na vitu vyote nachukua posta,
kama kuna ishu yoyote huelew ni pm nitakusaidia.

VD huwa unatumia njia gani kufanya malipo? Hupati usumbufu wowote ukienda kuchukua mzigo Posta? Au unafanyiwa home delivery?
 
Halafu we mwepesi sana wa kutapeliwa, watu wa Afrika ya magharibi (NIGERIA) wakikujua watakuliza vibaya mno, maana ni wajanja mbaya wa uwizi wa mtandaoni.
Kuwa makini unapofanya manunuzi ya mtandaoni, matapeli ni wengi.
 
VD huwa unatumia njia gani kufanya malipo? Hupati usumbufu wowote ukienda kuchukua mzigo Posta? Au unafanyiwa home delivery?

mkuu malipo yanafanyika kwa mastercard au visa na ni process rahisi sana...
mie natumia crdb mastercard na ukijiunga na ebay kuna sehemu unajaza details za namna utalipa....waweza kuwa unalipa moja kwa moja kwa kukatwa kwenye visa/mastercard yako au kwa kupitia account yako ya paypal.
kujiunga na paypal ni bure na wao ndio wanakuwa na na access na card yako ya visa/master....pindi ukinunua kitu ebay then una authorize malipo yafanyike kwa paypal.....wakishakata hela kutoka kwenye akaunti yako unapata email ya kuthibitisha malipo kuwa yamefanyika na yule mtu ulienunua kwake anakutumia mzigo haraka iwezekanavyo kupitia ile mailing address uliyojaza kwenye ebay.
hakuna usumbufu wowote toka posta kukupa mzigo wako hata kidogo....mie natumia ebay ya marekani na mara zote naona wauzaji wanatumia USPS(United States Postal Services) kama njia yao ya kutuma mzigo na kama nilivyosema hapo awali kuwa ni mwaka wa tatu sasa nanunua vitu toka ebay na vyote vimefika kwa wakati kwa posta hii hii tuijuayo....
 
Vipi kuhusu TRA? Na hivi kwa sasa unaweza kununua kitu online na kutumia visa/mastercard yako kwenye website ya hapohapo bongo? Ningerecommend Paypal kwa kila mtu anayenunua kitu ebay, hasa kama uko bongo.
 
Halafu we mwepesi sana wa kutapeliwa, watu wa Afrika ya magharibi (NIGERIA) wakikujua watakuliza vibaya mno, maana ni wajanja mbaya wa uwizi wa mtandaoni.
Kuwa makini unapofanya manunuzi ya mtandaoni, matapeli ni wengi.

Acha ushamba kijana....usipende kusemea jambo hulijui vyema....
hakuna mwanya wa kuibiwa ebay hata kidogo....
 
Vipi kuhusu TRA? Na hivi kwa sasa unaweza kununua kitu online na kutumia visa/mastercard yako kwenye website ya hapohapo bongo? Ningerecommend Paypal kwa kila mtu anayenunua kitu ebay, hasa kama uko bongo.

sijui kama bongo kuna sehemu waweza nunua kitu online...
 
Mkuu ukijiunga na ebay utatakiwa kujaza mailing address yako ili ukinunua vitu wanakutumia kwa box yako.
Mie nipo ebay na nanunua kwa mwaka wa tatu sasa na vitu vyote nachukua posta,
kama kuna ishu yoyote huelew ni pm nitakusaidia.

mkuu tuelimishe zaidi so kama box langu la posta ni 1111 ndo hilo nalitumia kama mailing address? ukinunua vitu vya thamani havipotei?
 
mkuu tuelimishe zaidi so kama box langu la posta ni 1111 ndo hilo nalitumia kama mailing address? ukinunua vitu vya thamani havipotei?

that is right...unajaza box lako
mfano....
Njomba Nchumali
box 0oo06
kibanda maiti
 
Hamna njia nyingine tofauti na mzigo kupitia posta maana nilienda kuwaulizia kuhusu kufungua po box wakanizungusha
 
nishanunua simu zaidi ya mara 5...zimefika...nimenunua laptops,suits,viatu na hakuna kimepotea....

Bongo ipo website waweza nunua online wana vitu vingi tu, malipo ni akaunti za mitandao ya simu na benki cards, then wanaleta mpaka home.

Then nikuulize mkuu kodi ya vitu unavonunua vipi? huwa naofia kodi na je waweza nambia faida ya kununua vitu nje ya nchi na hasara..ni kwaajili ya kujua tu.
 
Bongo ipo website waweza nunua online wana vitu vingi tu, malipo ni akaunti za mitandao ya simu na benki cards, then wanaleta mpaka home.

Then nikuulize mkuu kodi ya vitu unavonunua vipi? huwa naofia kodi na je waweza nambia faida ya kununua vitu nje ya nchi na hasara..ni kwaajili ya kujua tu.


kwa bongo sijawahi nunua mkuu...ila ukinunua nje huwa hakuna kodi utalipa kwani ile parcel wata label gift na hautatozwa chochote....nimenunua vitu mpaka dola 2,000 na sijakatwa hala zaidi....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom