Msaada: Nimempiga kibao sasa kazira hataki kula wala kuongea

Dionize N

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,848
3,292
Ni hivi, mimi situmii kinywaji ila girlfriend wangu anakunywa aina zote za bia sasa jana kaniomba hela anataka achukue bia hapa jilani mimi nikamnyima akaingiza mkono kwa nguvu katika mfuko wangu akachukua wallet na kuchukua mwekungu mmoja, mimi nikawa nampokonya bahati mbaya ikachanika.

Nilimzabua kibao kidogo tuu, alilia kweli toka jana saa 10 kazira haongei namimi wala nini kalala tu nikimsemesha anageukia upande wa pili. Jana usiku nimepika akakataa kula asubuhi chai kakataa, sasahivi namwambia nichukulie nini cha kula anapandisha mabega na kuyashusha kuashiria hataki.

Wadau nifanye nini maana naogopa mtoto wa watu isije kuwa anataka kucommit suicide, msaada nimfanyeje?
 
Ni hivi, mimi situmii kinywaji ila girlfriend wangu anakunywa aina zote za bia sasa jana kaniomba hela anataka achukue bia hapa jilani mimi nikamnyima akaingiza mkono kwa nguvu katika mfukowangu akachukua wallet na kuchukua mwekungu mmoja, mimi nikawa nampokonya bahati mbaya ikachanika.
nilimzabua kibao kidogo tuu alilia kweli toka jana saa 10 kazila haongei namm wala nini kalala tu nikimsemesha anageukia upande wa pili. Jana usiku nimepika akakataa kula asuui chai kakataa sasahivi namwambia nmuchukulie nn cha kula anapandisha mabega na kuyashusha kuashilia hataki.

wadau nifanye nini make naogopa mtoto wa watu isije kuwa anataka kucommit Suicide, msaada nmufanyeje??

Kweli wewe ni mkemwema
 
Kwanza, hujaeleza sababu ya kunyima hela ya bia wakati hakuiba ila alikuomba.
Pili, hujaeleza sababu ya kumpiga wakati wewe ndio ulieanzisha ugomvi...
sababu ya kumnyima mm sikutaja hiyo jana anywe na sababu ya kumpiga n yeye kuingia mfukoni mwangu na chuchomoa wallet na kuchukua mwekungu navyompokonya anaung'ang'ania hadi ukachanika nikakasirika nikampa kofi
 
Ilikua mara yako ya kwanza kumnyima pesa ya bia au ulizoea kumpa ndio sasa umeamua kuanza kumyima maana mtoto umleavyo ndiyo akuavyo
 
hahaha we jamaa! napendaga sana ukiletaga thread zako! zinafurahisha sana. sio mbaya chukua huo msimbazi unganisha kwa super glue halafu mpe labda atanyamaza! just kidding!!!
hahahahaaa ili kuua so nlienda mwenyewe chukua bia ila hazitaki sasa hadi kula hataki naogopa asije akafia getto
 
Ilikua mara yako ya kwanza kumnyima pesa ya bia au ulizoea kumpa ndio sasa umeamua kuanza kumyima maana mtoto umleavyo ndiyo akuavyo
sio mara ya kwanza kumnyima, ila ni mara ya kwanza kwake kuingia mfukoni mwangu kwa nguvu na kuchukua pesa
 
Na wewe ingiza mkono kwenye mfuko wake uchukue hicho anachokunyima hadi ichanike...!
yeye hajaninyima chochote, ila i'm worried atakufa na njaa coz toka jana alivokula mchana hajala had sasahivi na hataki kula
 
sababu ya kumnyima mm sikutaja hiyo jana anywe na sababu ya kumpiga n yeye kuingia mfukoni mwangu na chuchomoa wallet na kuchukua mwekungu navyompokonya anaung'ang'ania hadi ukachanika nikakasirika nikampa kofi
Mkuu..! endelea kumpiga..
nataka siku moja ulete thread ya kuwaasa wanaume aache kupiga wapenzi wao.. sawa eeeh!
 
Mzee wacha ubanizi bwana!shilingi elufu kumi ndo imetwaa hiyo kadhia?je vinono akupavyo je?kumfaidi wataka lakini kutoa ndururu moyo unakufukuta!toa fedha,upate nonino itikadi za ujamaa zipinganazo na unyonyaji tupa kule.mpe sh.elfu 20 akazinunue pamoja nyama choma.Siku akiwa nomo mweleze usivyopenda tabia yake ya ukomba.
 
Nina maana unazingua, na anakuona kama mwenzake. Kupuuza maagizo ni kitu kimoja, kuchukua kilicho chako kutoka kwako kwa nguvu ni dharau kubwa.
mimi pia niliiona kama dharau kubwa ndo maana akala kibao, sasa hilo tatizo la kutokula make sio mtoto wangu huyu akifa na njaa ndugu zake nitawaeleza nini. Hataki kula toka jana mchana nmfanye nini sasa ushauri hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom