Set a route, your gf/wf follows! Hakuna viongozi wawili kwenye taasisi moja!Mzee wa Lumumba kumpenda mwanamke kumbe ni ubwege, basi nyie wazee wa zamani mlikua mabwege zaidi
hivi hapa unamshauri nini?Ngoja washauri waje
shukran mkuu kwa mawazo mazuri
daah wewe kaka ni gentleman
unajua kubembeleza mwe
Kwanza, hujaeleza sababu ya kunyima hela ya bia wakati hakuiba ila alikuomba.
Pili, hujaeleza sababu ya kumpiga wakati wewe ndio ulieanzisha ugomvi...
Kweli hapa hakuna mwanaume kuna mfano tu wa mwanaumeUhusiano wenu unahitaji mwanaume. Step up, my dude.
Mmh! Sasa huyo ni Girlfriend ama ni mke? Unafuga gf mwenye malazi ya ulevi akiwa mke si itakua balaa humo ndani? Maana wasichana wengi huwa watiifu b4 marriage ila wakiipata iyo ndoa hufichua tabia halisikumtimua nitakua naongeza tatizo mkuu ataenda wapi muda huu kwao mbali Bukoba huko
yeye hajaninyima chochote, ila i'm worried atakufa na njaa coz toka jana alivokula mchana hajala had sasahivi na hataki kula
Mtu hua anakufa njaa kwa kutokula siku moja?,wewe mwangalie tu kama humuoni,njaa ikimkamata sawa sawa ataamka kukitafuta chakula mwenyeweyeye hajaninyima chochote, ila i'm worried atakufa na njaa coz toka jana alivokula mchana hajala had sasahivi na hataki kula