Msaada: Nimempa mtaji wa Tsh. milioni 1.5 ila ndani ya wiki 2 tu kabakiza 500,000

Mara nyingi kwenye kuanza biashara ukitumia Pesa nyingi jua akili ndogo itatumika na biashara itakufa tu ILA ukitumia Pesa kidogo basi automatically utatumia akili kubwa kukuza mtaji na biashara itasimama vizuri kwa muda mrefu kabla ya ku-fall kwenye Law of Diminishing Return, ila inategemea na biashara na kwa biashara hiyo ungempa ela ya trip 1 tu aanze nayo.
 
Habari zenu,

Jamani hawa madogo wanaomaliza vyuo ni pasua vichwa bora sisi wenye la 7 zetu. Dogo kamaliza masomo kaomba mtaji wa kulangua dagaa na kuuza ila kaenda takriban trip 3 tu mtaji umeisha.

Nisaidieni nimuongeze pesa au niache apambaniye hiyo hiyo?
Kaa chinii ongea naee muulizee kwanini pesa zime baki hivyoo kisa ni nini.

Mwambie akuelezee na muulizee jinsi ya kutatua tatizoo lake na mpe limit kuwa pesa ni ngumuu nikitoq jua sina tena kitu.

Hakikisha anakupa maelezo ya kutosha. Na kama biashara amepunguzaa chukua hiyoo laki 5 kaa nayoo kwanza

Sent using mt4 app
 
Mku....
Yaani hadi hapo bado unakuja kuomba nini tukushauri kweli..
Anyway, basi muongeze tena hata zaidi ya uliyo mpa mwanzo..
 
Mzee wangu mara ya kwanza nimemaliza chuo tu akanipa 1.2m kiufupi ile pesa nilikuwa na wenge nayo hatari nashukuru Mungu vyaa maana nilinunua japokuwa kila nikipiga mahesabu ni kama 350k sijui ilienda wapi ila good thing nilijifunza mambo mengi sana. Point yangu ni kwamba pesa uliompa kwa mara ya kwanza ni kujifunza atalanguliwa sana ila kama atakuwa mwenye akili wa kujifunza kutokana na makosa huyo atafika mbali, biashara mwanzoni ina mambo mengi sana.
 
Muongeze acha roho mbaya kuna siku naye atakuinua. Ila kaa uongee naye awe makini kwenye biashara na aangalie biashara yenyewe ni profitable or loss making business?
 
Mku....
Yaani hadi hapo bado unakuja kuomba nini tukushauri kweli..
Anyway, basi muongeze tena hata zaidi ya uliyo mpa mwanzo..
Yaani wewe huwa hupendi watu wapewe msaada na hutaki kutoa msaada, Nilifikiri ni kwa wanaohisiwa ni matapeli tu wa hapa jf kumbe ndio tabia yako ubinafsi na uchoyo, utafika wapi sasa?
 
Mkuu biashara ya dagaa sina uzoefu nayo na sijawahi ifanya ila nina ufahamu kidogo, utafiti ni muhimu soko lipo sana kwa watu wa vijijini sababu ndio mboga kuu mara nyingi wanaweza kununua vipimo vikubwa kama stock ya wiki n.k. mjini ni kilo kidogo kidogo.

Na dogo anahitaji kujikomit kidogo, kama ananunua gunia kwa nini asilitembeze mwenyewe au degree inampa kiburi.

Niseme tu ili biashara yoyote ile iende vizuri haitaki "Watu watanionaje" attitude.
Kweli mkuu attitude.
 
Yaani wewe huwa hupendi watu wapewe msaada na hutaki kutoa msaada, Nilifikiri ni kwa wanaohisiwa ni matapeli tu wa hapa jf kumbe ndio tabia yako ubinafsi na uchoyo, utafika wapi sasa?
Ebu ngoja nicheke....
Lakini ngoja nisiondike bila kutia neno kwamba, shida yenu vijana ninyi hampendi kuambiwa ukweli...
And, sijawahi kubarikiwa kuwa na roho mbaya chief....
Lakini nahisi kama pengine unastress boss, ebu funguka kama hauna mtonyo wa kula kesho nikupee..
 
Ebu ngoja nicheke....
Lakini ngoja nisiondike bila kutia neno kwamba, shida yenu vijana ninyi hampendi kuambiwa ukweli...
And, sijawahi kubarikiwa kuwa na roho mbaya chief....
Lakini nahisi kama pengine unastress boss, ebu funguka kama hauna mtonyo wa kula kesho nikupee..
Hahahaha nipe basi
 
Ebu ngoja nicheke....
Lakini ngoja nisiondike bila kutia neno kwamba, shida yenu vijana ninyi hampendi kuambiwa ukweli...
And, sijawahi kubarikiwa kuwa na roho mbaya chief....
Lakini nahisi kama pengine unastress boss, ebu funguka kama hauna mtonyo wa kula kesho nikupee..

Acha dharau mzee maisha ni kupanda na kushuka jamaa kakwambia ukweli uache roho mbaya.
Wewe mbona juzi kati apa ilikuwa ujinyonge maisha yamekupeleka puta wana jf wakakufariji wakiongozwa na mshana?? Leo uko poa dharau na roho mbaya zinaendelea
 
Acha dharau mzee maisha ni kupanda na kushuka jamaa kakwambia ukweli uache roho mbaya.
Wewe mbona juzi kati apa ilikuwa ujinyonge maisha yamekupeleka puta wana jf wakakufariji wakiongozwa na mshana?? Leo uko poa dharau na roho mbaya zinaendelea
Kwanza, sijawahi kiwaza hata kutamani ku kufa, na Ebu nishikie adabu kijana, na kupambana kwako isiwe shida kwa wengine.
By the way, msifanye changamoto kiwa kisingizio.
Na ukiona Kama Nina roho mbaya, ebu ipake rangi basi..
 
Back
Top Bottom