kimicro mnishi
Member
- Oct 22, 2018
- 35
- 10
Habari wana mmu natumai mko salama na mnaendelea vyema kulijenga taifa la viwanda mimi ni kijana wa miaka 28+ ambae bado naishi kwa wazazi wangu, najua kuna watu wataponda ila sioni sababu ya kutoka maana inanisaidia sana kupunguza matumizi na kuongeza savings ukifika muda sahihi nitatoka na sihitaji ushauri hapa bali kwa jambo jingine la hasira zangu.
tatizo hili nimeligundua kama miezi miwili iliyopita kuna siku mzee alikua ananioelekeza kitu kwa ukali kidogo nilimjibu kiufupi tu we mzee naomba uniache, nilijishangaa snna sijawahi kumjibu mtu mzima hivi na hasa mzee ambae naamini alistahili kutajwa kwenye uzi wa wazee wakaksi siku nyingine boss wangu aliniuliza hiyo kazi umefanyaje mbona haieleweki nikamuuliza kwa dharau boss usinifundishe kazi najua ninachokifanya hapo nilikua nagonga meza kwa nguvu sana leo nimetoka kumjibu kaka yake baba wewe mzee acha use*** wako.
Hiyo ni mifano michache tu na kwa kweli huwa najutia sana kufanya vitendo hivyo sasa nimejaribu kukisia vitu vinavyoweza kuwa vimenipelekea kuwa hivyo cha kwanza ni kuwa situmii kilevi cha aina yoyote, cha pili nimekua sina mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na miezi miwili sasa mpenzi wangu wa mwisho tuliachana kutokana na mimi kuchelewa sana kupata ajira japo huwa nashiriki zinaa kwa wadada zetu wa berbershop wabarikiwe kwa kweli, cha tatu kazi nayofanya nakua busy sana sina muda wa kupumzika maana naingia saa moja na nusu kutoka saa 12 jioni kila siku kasoro jumapili tu kwa maana ni kampuni binfsi.
Je ndugu wana mmu inawezekana kuwa moja ya matatizo nayoyahisi ndiyo yanasababisha hasira au ni kitu kingine tu na je nifanyeje niondokane na hali hii ambayo siipendi nakaribisha ushauri kebei nasaha na mapendekezo kwa wataalamu wa fasihi naomba mnisamehe siyo muandishi mzuri asante.
tatizo hili nimeligundua kama miezi miwili iliyopita kuna siku mzee alikua ananioelekeza kitu kwa ukali kidogo nilimjibu kiufupi tu we mzee naomba uniache, nilijishangaa snna sijawahi kumjibu mtu mzima hivi na hasa mzee ambae naamini alistahili kutajwa kwenye uzi wa wazee wakaksi siku nyingine boss wangu aliniuliza hiyo kazi umefanyaje mbona haieleweki nikamuuliza kwa dharau boss usinifundishe kazi najua ninachokifanya hapo nilikua nagonga meza kwa nguvu sana leo nimetoka kumjibu kaka yake baba wewe mzee acha use*** wako.
Hiyo ni mifano michache tu na kwa kweli huwa najutia sana kufanya vitendo hivyo sasa nimejaribu kukisia vitu vinavyoweza kuwa vimenipelekea kuwa hivyo cha kwanza ni kuwa situmii kilevi cha aina yoyote, cha pili nimekua sina mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na miezi miwili sasa mpenzi wangu wa mwisho tuliachana kutokana na mimi kuchelewa sana kupata ajira japo huwa nashiriki zinaa kwa wadada zetu wa berbershop wabarikiwe kwa kweli, cha tatu kazi nayofanya nakua busy sana sina muda wa kupumzika maana naingia saa moja na nusu kutoka saa 12 jioni kila siku kasoro jumapili tu kwa maana ni kampuni binfsi.
Je ndugu wana mmu inawezekana kuwa moja ya matatizo nayoyahisi ndiyo yanasababisha hasira au ni kitu kingine tu na je nifanyeje niondokane na hali hii ambayo siipendi nakaribisha ushauri kebei nasaha na mapendekezo kwa wataalamu wa fasihi naomba mnisamehe siyo muandishi mzuri asante.