Msaada nimekua na hasira sana ni stress tu au kuna kingine?

Hilo ndo linakupa stress maana Ukikaa kwenu kubali kuwa treated Kama mtoto sasa wewe unataka Uhuru kama upo kwako na hicho ndo kinakupa stress Sana yani kila unaeongea nae unahisi anakudharau kumbe kawaida tu...!! Kuhama kwenu sio mpaka ujenge nyumba yakoo...Hama nenda kapangee mkuu
Mkuu @kimicro mnishi, hii kitu inaukweli sana mzee...nasema hilo kama muathirika wa hilo, nna 30yrz...na niko hom...
 
Sio kila pepo unadondoka. Mapepo yanatofautiana.
Ushawahi kuona mtoto wa kiume akisumbuliwa na kitu mwilini au akiumwa hivi anajitupa tupa chini? Hapana. watoto wa kike wana tabia hiyo. Hivyo hata wakiwa na mapepo huona shida na kujirusha rusha. Ingawa wapo wanaume wachache wanaoangushwa na mapepo.
Okey mkuu nmekuelewa boss
 
Wewe huna demu hizo ni ngezi ndio zinakusumbua mkuu, isitoshe hela haikidhi mahitaji yako yote japo unatumikishwa sana! Nadhani tafta suluhisho hapo mzee ila first go get laid, itaondoa huo msongo wa mawazo kwa 80%
 
Mkuu kwanza pole kwa tatizo lako pia hongera kwa kufanya jitihada za kutafuta ufumbuzi wa hilo tatizo linalokukabili. Wadau wengi wameshauri vizuri njia za kukabiliana na hilo tataizo linalokusumbua mimi nitakazia machache.

Hama nyumbani ukapange - Hii itakusaidia kwani utakua ni kama umeanza maisha mapya yenye changamoto nyingine,akili yako utaifanya iwaze jinsi ya kuzikabili hizo changamoto kwenye mazingira hayo mapya. Kuna tofauti kubwa ya maisha ya kuishi kwa wazazi na kuwa wewe peke yako, jitahidi uhame hapo home.

Jichanganye na wengine (socialise) - Tafuta marafiki wapya kupitia mambo unayoyapenda (hobby) ama kama hauna tafuta sasa mfano unaweza kujiunga swimming club ukawa unaenda ila jitahidi iwe ratiba rasmi.

Tafuta mpenzi wa kudumu - Mkuu tafuta mpenzi wa kudumu uwe kwenye mahusiano rasmi achana na hayo mapaka shume yatakupotezea muda. Tafuta msichana makini mwenye kujielewa atakayekupa morali ya kufanya maendeleo. Mkuu kuna nguvu kubwa kwenye hili. Kama uwezo wako ni mdogo wa kuwapata hawa viumbe pitia hapa itakusaidia Hundreds of Free Articles on Meeting, Attracting, and Dating Women - Tips and Advice

Badili mtazamo - Inawezekana unapenda sana kukosoa, kujiona au unaruhusu jambo hata kama ni dogo likukere, badili mtazamo juu ya haya mambo. Jenga tabia ya kuridhika, kusamehe na kusahau pia karibisha tabia mpya kama upendo,kutojali mambo ambayo hayana msingi. Ishi maisha ya ndani ya Iman.
 
Mkuu kwani Ni kiwango gani kinatosha mtu kuaminika kuwa ana hela? Sina hela kama za kina manji ila za kumudu maisha tu ya kawaida naamini zinanitosha
Mkuuhuna maisha ya kumudu
Basic needs zote wazaz wamekava
Shelter na meal
Wew kaz kuu kuvaa na kupata hasira
 
Mkuu kwanza pole kwa tatizo lako pia hongera kwa kufanya jitihada za kutafuta ufumbuzi wa hilo tatizo linalokukabili. Wadau wengi wameshauri vizuri njia za kukabiliana na hilo tataizo linalokusumbua mimi nitakazia machache.

Hama nyumbani ukapange - Hii itakusaidia kwani utakua ni kama umeanza maisha mapya yenye changamoto nyingine,akili yako utaifanya iwaze jinsi ya kuzikabili hizo changamoto kwenye mazingira hayo mapya. Kuna tofauti kubwa ya maisha ya kuishi kwa wazazi na kuwa wewe peke yako, jitahidi uhame hapo home.

Jichanganye na wengine (socialise) - Tafuta marafiki wapya kupitia mambo unayoyapenda (hobby) ama kama hauna tafuta sasa mfano unaweza kujiunga swimming club ukawa unaenda ila jitahidi iwe ratiba rasmi.

Tafuta mpenzi wa kudumu - Mkuu tafuta mpenzi wa kudumu uwe kwenye mahusiano rasmi achana na hayo mapaka shume yatakupotezea muda. Tafuta msichana makini mwenye kujielewa atakayekupa morali ya kufanya maendeleo. Mkuu kuna nguvu kubwa kwenye hili. Kama uwezo wako ni mdogo wa kuwapata hawa viumbe pitia hapa itakusaidia Hundreds of Free Articles on Meeting, Attracting, and Dating Women - Tips and Advice

Badili mtazamo - Inawezekana unapenda sana kukosoa, kujiona au unaruhusu jambo hata kama ni dogo likukere, badili mtazamo juu ya haya mambo. Jenga tabia ya kuridhika, kusamehe na kusahau pia karibisha tabia mpya kama upendo,kutojali mambo ambayo hayana msingi. Ishi maisha ya ndani ya Iman.
Nakushukuru sana mkuu @enlightnment kwa mawazo yako kweli jf ni kisima cha hekima
 
Huo umri ulitakiwa uwe kwako uwe na kadem kanakuja kanakupikia na kupakua
Unajilia mzigo sio eti umekua na hasira au stress which is not true ambacho unacho ni loneliness ambayo inakupelekea unakua hvyo
 
Unaenda nyumba za ibada ukiwa na hofu ya Mungu huwezi kuwa kisirani
Pia kuwa na mtu wa karibu kushare naye hisia kama mpenzi yani wewe unategemea penzi la kununua hadi lini tafuta mtu uanze ukaribu naye
Pia fanya mapenzi mara kwa mara inapunguza hasira unavyosema unafanya saving usikute hata kwenda kula mzigo kwa manati jitahidi kaka
 
Unaenda nyumba za ibada ukiwa na hofu ya Mungu huwezi kuwa kisirani
Pia kuwa na mtu wa karibu kushare naye hisia kama mpenzi yani wewe unategemea penzi la kununua hadi lini tafuta mtu uanze ukaribu naye
Pia fanya mapenzi mara kwa mara inapunguza hasira unavyosema unafanya saving usikute hata kwenda kula mzigo kwa manati jitahidi kaka
Asante mkuu
 
Kwa umri uliofikia lazima uwe na hasira kama unaishi kwenu,kinachokusumbua wewe ni hisia za mapenzi kwa kutokuwa na mtu pamanenti wa kuondoa stress zako,panga chumba na mambo mengine yatafunguka.Unaweza kufikiri unapunguza garama kwa kukaa kwenu huku upande unaokupa heshima unaporomoka.
 
unahitaji mke kijana akuweke busy uwe unamuwaza
kama muda huo anagegedwa au lah
utaacha hasira utapata stress
Na atoke kwao alishakuwa mkubwa ye anafikiri pesa ni kwa ajili ya kuweka bank
 
Back
Top Bottom