toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Nimekosea kutoa pesa ikaenda kwa wakala mwingine
Nilikuwa natoa hela ya kula kwenye simu jumla elfu 52 si kumbe nimekosea namba ya Wakala ndo ikatoka kwa jina la wakala mwingine sasa sikuangalia vizuri
Hii hela inaweza kurudi kweli? Halafu ndo nayotegemea hela ya kutumia nayoitegemea inisogeze hadi tarehe 28 au tarehe 1 na njaa inauma kinoma
Nambieni nifanyeje maana hata sielewi
Nilikuwa natoa hela ya kula kwenye simu jumla elfu 52 si kumbe nimekosea namba ya Wakala ndo ikatoka kwa jina la wakala mwingine sasa sikuangalia vizuri
Hii hela inaweza kurudi kweli? Halafu ndo nayotegemea hela ya kutumia nayoitegemea inisogeze hadi tarehe 28 au tarehe 1 na njaa inauma kinoma
Nambieni nifanyeje maana hata sielewi