Lewis Maker
Member
- Jan 25, 2019
- 47
- 16
Kwa kozi za sayansi au zote kiujumla changanua vizuriHujaelewa, zamani ukiwa na diploma tu unakwenda, siyo sasa. Health related University degree unahitaji 3.5 GPA, kozi zisizo za afya unahitaji 3.0 na 4 Ds an above. GPA LAKINI pamoja na GPA hizo lazima uwe na sifa za kwenda form five kwa kozi za afya!
soma attachment hii, table 1 & 2. nadhani utanielewa
Sent using Jamii Forums mobile app