sacred wall
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 804
- 1,318
Wewe kijana, kwa mfumo wa sasa, kama huna sifa za kwenda form five hutaruhusiwa kwenda university. Unielewe. huyu anayekwenda veta ana ufaulu mdogo usiomruhusu kwendaA level!Sasa kama ni hvo, mbona unapondea mtu kuanza na level ya veta, au hujui hata aliye soma veta kama akifaulu vizur anaweza kwenda diploma na kwenda mbele zaidi???????
Sent using Jamii Forums mobile app